Recent content by Natiogeo

  1. Natiogeo

    TIMU Magufuli tukutane hapa

    kijana unonekana wewe ndio ZERO KABISA!!! nYIE NDIO MOJAWAPO WA MALOFA WA AKILI MLIBAKI, AMBAO hAMWELEWI dunia inakwenda wapi!! yaani mkapa naye??
  2. Natiogeo

    Mataifa yametushangaa sana watanzania kwa upofu wa akili

    kaka tulichagua vizuri, sema kuna ZIMWI WATU ambao wanalinda maslahi yao ndani ya taifa, ambao walikuwa wameandaa mtu wanayetegemea atawalinda wakitoka kwenye mfumo, ndio waliomteua na kufanya michakato ya kuwezesha goli la mkono!!
  3. Natiogeo

    Kuchaguliwa kwa Magufuli, Gasi yetu imeponea chupuchupu

    STUPID ThREAD; kuna genge baya kama lililochakachua katiba, na kura mwaka huu? acha ujinga kijana...
  4. Natiogeo

    United Kingdom statement on Zanzibar elections

    FOOL WEWE!!! WAKATI VIONgOZI WAKO WANATEMBEA DUNIA NZIMA KWENDA KUOMBA MISAADA WAKWENDA WAPI? JUPITER AU? KILA MRADI UNASIKIA NI KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI, CHINA, JAPAN, DENMARK ETC... ACHENI UNAFIKI VIJANA!!! BAJETI YA SERIKALI 22TRILION, 40% NI WAHISANI UNATEgEMEA HAWANA SAY?
  5. Natiogeo

    GE2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

    ktk vitu ambavyo atakosea ni kufuata nyayo za mtangulizi wake!!! QUOTE=Pasco;14485374]Wanabodi, John Pombe Magufuli ndiye Mahundi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, Kuna walioshindana naye, waliopingana nae, na waliopingana nae!. Kuna msemo usemao, "if you can't beat...
  6. Natiogeo

    Katiba kwanza uchaguzi baadaye

    umezungumza kweli, ila kuna gharama sana ktk hili!! hawawezi kuruhusu hilo litokeee!!
  7. Natiogeo

    Maskini Tanzania!

    Mimi nasubiria kuona ujenzi wa reli ya kati november, pamoja na fly over na bandari ya bagamoyo!!!
  8. Natiogeo

    Maskini Tanzania!

    Brother hiyo lugha ni mbaya achana nayo kabisa!!! Watanzania ndio tatizo,,.. Kila mahali kuna wana-ccm. Umeona hata ngome za wapinzani, hawakosekani.. Kwa hiyo usitumie ukabila kwenye post zako
  9. Natiogeo

    CHADEMA mtamkumbuka Zitto na Slaa, CUF hawataisahau CHADEMA

    Hiyo heshima yake inarudia wapi?? Wote hata aliowatumikia hawawezi tena kumpa heshima yake!!, tusubiri uone atakavyorudi na ka-begi chake airport, bila hata mke!!
  10. Natiogeo

    Washawasha polisi wavua nguo

    kwa jinsi nilivyomsoma jamaa!!, alitamani sana Jeshi lifanane na Majieshi ya nchi zilizoendelea, akasahau kuwa hii ni TANZANIA!!. mbaya zaidi alitamani hata kuendelea kuongoza kwa mabavu...... lakini muda ndio hivyo tena umeshamuacha!!.
  11. Natiogeo

    Watanzania wakataa "ELIMU YA BURE HADI UNIVERSITY"

    anyway!!, tusubirie sasa RELI YA KATI, inayoanza kujengwa november Fly-over Tazara nayo itakuwa ni november Watoto wetu kusoma bure mpaka form four ni January.. Mahakama maalumu ya mafisadi itafunguliwa akiapishwa
  12. Natiogeo

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    kaka unashangaa hayo tu!!, nipo karibu na BULYANHULU ni mgodi unaofahamika kama " WORLD CLASS DEPOSIT" Ktk ulimwengu wa makampuni ya UCHimbaji wa madini, Huwezi kuamini kuwa mgodi huu umekuwa kwenye uzailishaji kwa zaidi ya miaka 18 sasa... waajiriwa wageni(expats) kutoka mataifa mbalimbali...
  13. Natiogeo

    Umasikini wa Watanzania ni wa kujitakia

    The Good thing ni kuwa LOWASA Hana cha kupoteza!! he is very Rich, Jambo lingine, ni kuwa anaweza kurudi CCM tu, wala hakukosana na mtu, na mliona jinsi ambavyo Campeni zake zilikuwa za kistarabu kabisa, hakutukana mtu yeyote, wala hakuwasema wezi wenzake aliokuwa nao CCM. Yeye URAisi ulikuwa...
  14. Natiogeo

    Mwanza - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    this is the dissapointintin destiny, alfcaste;14464893]Nipo Mwanza Usukuma niliutabiri kipindi cha kampeini.Leo kila kona wanoshangilia ni Wasukuma tu, cjui wanadhani Magufuli atawaletea hela nyumbani.
Back
Top Bottom