Hapo sikuungi mkono kipindi kile tunataka kupigana watu tulikuwa tunajamba jamba unadhani tulikomalia kisicho halali we we inatakiwa mamlaka ikuchunguze
israel si kama tunavowasikia katka vyombo vya habari hata wao wanachapka tu hezbollah walitumia siku 33 tu kuwachakaza hata misri washawahi wapga hao ni vyombo tu vya magharibi wanawapambanua kama wakali hivo lkn si kwamba hawachapki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.