ASANTE Sana MKUU. ni kweli MAfundi wa ARUSHA wameshindwa kwangu pia. hata baada ya kuwapa muongozo baada ya kupata shule humu.
Sensor ulinunua wapi? je una contacts zao?
Pole, Nafikiri hilo linajengwa na MAZOEA, unapowaza Mechi ya nnje, kuna picha fulani unajijengea...Unawaza Upya wa Mbinu za Mechi n.k.
Nafikiri inabidi ubuni namna tofauti tofauti za kuboresha GAME HOME, Inaweza kuwa, kuhamia viwanja tofauti tofauti vyenye hadhi ya kutia hamasa. Mtoe Mpenzio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.