NISSAN AXIS 2005 Kupoteza Nguvu

Nathan James

Member
Apr 12, 2017
59
28
Naomba Msaada. Nina NISSAN AXIX/XTRAIL 2005 NT30. ODO 120,000

Kwa sasa, baada ya maatumizi ya Miaka 2. Lilianza kushindwa kupanda muinuko, kuna fundi akashauri tuondoe Muffler - Kuna kifaa fulani kwenye Muunganiko wa Engine na Exhaust), Gari ikonyesha kuweza kupata Nguvu ila ilikuwa inatoa Mlio mkubwa.

Baada ya hapo, Sasa naona kuna tatizo kwamba, ninapokuwa barabarani, gari inakosa nguvu na kushindwa kwenda, hata nikikanyaga Mafuta mpaka mwisho haiendi, and mara inashtka na kupata kasi.

Fundi niliempelekea ameshindwa kunipatia Majibu sahihi kuwa tatizo ninini.

NIKO ARUSHA.
 
Mkuu kuna sensor mbili throatal and camshaft zitakuwa na shida hazifanyi kazi ipaswavyo. Ukizipima kwenye meter zikiwa chini ya 3.5 readings badilisha.
Pia angalia uwezo wa fuel pump na airfilter hivyo kama havipo vizuri gari itapoteza nguvu.

Kama vyote vipo poa basi compression inapotea na ushauri tumia oil engine zilizoandikwa 5w 20 na kundelea zinasaidia sana kuseal air compression na ni mahsusi kwa gari zenye zaidi ya 100,000km.

Kama hayo yote bado unapata shida, fungua gearbox kwenye sample kuna sensor mwambie fundi asafishe.

Kama. Hayo yote bado tatizo litakuwepo badilisha engine na gearbox kwa pamoja
 
Mkuu Nashukuru sana kwa Majibu mazuri. Naanza kuyafanyia kazi na nitaleta Mrejesho kila hatua.

NASHUKURU SANA




Mkuu kuna sensor mbili throatal and camshaft zitakuwa na shida hazifanyi kazi ipaswavyo. Ukizipima kwenye meter zikiwa chini ya 3.5 readings badilisha.
Pia angalia uwezo wa fuel pump na airfilter hivyo kama havipo vizuri gari itapoteza nguvu.

Kama vyote vipo poa basi compression inapotea na ushauri tumia oil engine zilizoandikwa 5w 20 na kundelea zinasaidia sana kuseal air compression na ni mahsusi kwa gari zenye zaidi ya 100,000km.

Kama hayo yote bado unapata shida, fungua gearbox kwenye sample kuna sensor mwambie fundi asafishe.

Kama. Hayo yote bado tatizo litakuwepo badilisha engine na gearbox kwa pamoja
 
Mkuu kuna sensor mbili throatal and camshaft zitakuwa na shida hazifanyi kazi ipaswavyo. Ukizipima kwenye meter zikiwa chini ya 3.5 readings badilisha.
Pia angalia uwezo wa fuel pump na airfilter hivyo kama havipo vizuri gari itapoteza nguvu.

Kama vyote vipo poa basi compression inapotea na ushauri tumia oil engine zilizoandikwa 5w 20 na kundelea zinasaidia sana kuseal air compression na ni mahsusi kwa gari zenye zaidi ya 100,000km.

Kama hayo yote bado unapata shida, fungua gearbox kwenye sample kuna sensor mwambie fundi asafishe.

Kama. Hayo yote bado tatizo litakuwepo badilisha engine na gearbox kwa pamoja


Hata mie elimu hii imenifaa. Asante sana
 
Mkuu kuna sensor mbili throatal and camshaft zitakuwa na shida hazifanyi kazi ipaswavyo. Ukizipima kwenye meter zikiwa chini ya 3.5 readings badilisha.
Pia angalia uwezo wa fuel pump na airfilter hivyo kama havipo vizuri gari itapoteza nguvu.

Kama vyote vipo poa basi compression inapotea na ushauri tumia oil engine zilizoandikwa 5w 20 na kundelea zinasaidia sana kuseal air compression na ni mahsusi kwa gari zenye zaidi ya 100,000km.

Kama hayo yote bado unapata shida, fungua gearbox kwenye sample kuna sensor mwambie fundi asafishe.

Kama. Hayo yote bado tatizo litakuwepo badilisha engine na gearbox kwa pamoja
Na uzi ufungwe kabisa.. Wengine wapite kusoma tuu
 
Had the same issue with Xtrail. Kuna swith/sensor ipo kwe gearbox ubavuni ndo ikifa gari inakuwa haina nguvu kupanda mlima. Mafundi wa Arusha karibu wote ninaowajua walizingua, nikasafiri hadi dar ndo ikapatiwa ufumbuzi.
 
ASANTE Sana MKUU. ni kweli MAfundi wa ARUSHA wameshindwa kwangu pia. hata baada ya kuwapa muongozo baada ya kupata shule humu.

Sensor ulinunua wapi? je una contacts zao?
Had the same issue with Xtrail. Kuna swith/sensor ipo kwe gearbox ubavuni ndo ikifa gari inakuwa haina nguvu kupanda mlima. Mafundi wa Arusha karibu wote ninaowajua walizingua, nikasafiri hadi dar ndo ikapatiwa ufumbuzi.
 
Halafu bahati Mbaya na mm si mwenyeji Dar, Ila nilielekezwa nikaenda. Karibu na shekilango kuna garadge pale. Jamaa anaitwa Nywele.
 
Wakuu haya magari yamekuwa na mjadala mpana sana, watu wengi wanayaogopa au wanaogopeshwa na mafundi. Mimi nikipata bahati ya kuzipata fedha nikitoka kwenye saloon car kwenda kwenye SUV nitaingia humo kwanza bei zake ni nzuri tofauti na suv nyingine.
 
Back
Top Bottom