Recent content by Nasser salum

  1. N

    Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

    Watu hawa hawana uchungu na nchi yao kabisa Mnajiita wazalendo, kweli?. Uongo mtupu. Ifike mahali tujiulize kabla ya kubeza hii nchi yetu wote.
  2. N

    Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

    Kwani Tanzania tuna wapinzani? Tuna wapingamizi, hamna lolote. Sent from my 8050D using JamiiForums mobile app
  3. N

    Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

    CNN na Al-Jazeera navyo ni vyombo vya habari tu km kaeaida. Sent from my 8050D using JamiiForums mobile app
  4. N

    Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

    Hata hivyo vitu vinakuja vipi bila watu?. Sent from my 8050D using JamiiForums mobile app
  5. N

    Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

    Mnafikiri bila amani nchi hii ingekuwaje?. Angalieni jirani zetu wa drc. Ifike mahali muwe na shukrani . Hebu mniambie mnataka amani ya namna gani? Kweli alivyofanyiwa lisu si vizuri. Na kuwahukumu vingozi kwa jambo hilo pia haifai km kuna matatizo tuviachie vyombo vya usalama vifanye kazi...
  6. N

    Spika Ndugai: Lissu hana kibali cha kuishi nje ya nchi, amtaka arudi mara moja Tanzania

    Lissu alikuwa huko kwa matibabu tu na si vinginevyo, suala la matibabu libaki kuwa hivyo na si kupona na kuanza kupiga misele huko ughaibuni. Yeye arudi nyumbani kuhudumia wanakura wake, haya mengingine ni kutafuta sababu za kumuelewa vibaya spika wa bunge. Atapata nini kuanza kulaumu serikali...
  7. N

    Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

    Aliolewa Hawa na Adam itakuwa yeye?. Ajabu
  8. N

    Mwigulu: Nilitegemea mawakili wakubwa na wasomi kama Lissu wajitokeze na kuanza kuwashitaki ACACIA

    Tuache ushabiki hasa tunapozungumzia maslahi ya taifa letu ambalo limepata kiongozi mwenye kuthubutu.Siyo mwoga kuamua mambo. Tatizo la wapinzani hawana jema hata ungefanya mazuri kiasi gani, niya yao ni kutugawa makundi ili tusiwe wamoja
  9. N

    Ushauri: Waliogushi vyeti wasifungwe, wasamehewe. Wengi wametoa mchango kwa Taifa

    Wafungwe tu kwani hawakujua kufoji ni makosa?, pengine hata kufoji kwao kumeisha leta matatizo kwa jamii.
  10. N

    Julius Mtatiro: Nimejulishwa kuwa aliyevamia mkutano wa CUF ni afisa wa Usalama wa Taifa

    Nyinyi watu wa siasa mmetuchosha namaneno yenu, mnajuana msipoweka mbele maslahi ya Nchi yetu mtatupeleka pabaya.
Back
Top Bottom