Recent content by Nasibunduki

  1. Nasibunduki

    Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

    Wakuu samahani ,hiv milk pasteurizer machine pekee inaeza saidia kuanzisha biashara ya youghut niko mwanza naomba msaada ,nataman kufungua fresh milk and youghut shop
  2. Nasibunduki

    Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Habari wakuu samahan naomba kuuliza,na mdogo wangu WA kike kamaliza form four alisoma masomo ya art na kapata four ya 28 ,NAMPANGO wakumpeleka veta akasome motor vehicle mechanics ,swali langu ni je akihitimu mafunzo veta akapata FTC Anaweza kuapply kusoma diploma hapo chuoni kwenu au Hakuna...
  3. Nasibunduki

    Nahitaji business partners biashara ya dhahabu

    Mzee tiririka kidogo tupate muongozo
  4. Nasibunduki

    Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

    Dhahabu VP huko inapatkana tuje tupambane
  5. Nasibunduki

    Niliyoyaona Jijini Mwanza

    We ndo walewale wanaokuja kupiga picha samaki siku ya skukuu,
  6. Nasibunduki

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    Ruby si ndo inasemekan riziman amehodhi eneo lote na wachimbaj wametolewa nduki......
  7. Nasibunduki

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    Tangu ukolon had Leo Hilo joka halijafa Tu 😂😂😂😂😂😂😂😂
  8. Nasibunduki

    Ushauri: Biashara gani ya kufanya kwa mtaji wa Tsh milioni 2

    Wazo zuri Kamongo Ila ongeza minofu kidogo kuhusu a b c za huu mpango WA mabondo
  9. Nasibunduki

    Nina utaalamu wa madini ya Almasi, natafuta mbia mmoja wa kufanya nae biashara hii

    Kwanin USD 2000 na si chin ya hapo ongeza nyam kidg tujilipue
  10. Nasibunduki

    Mrejesho; Biashara ya madini ya dhahabu... fourth season

    Ni kwema wakuu habar za siku tupeane location wapi tufunge karasha maana huku shilalo Kwa SASA njaa ni Kali, material adimu ,Kwa SASA gharama za uendeshaji ni mtiti bin mufilis
  11. Nasibunduki

    Mrejesho biashara ya madini 'third season'

    Hivi karasha lipi ni zuri hili ball mill crusher au hammer mill crusher nakuna hii jaw crusher naomben msaada hapo
  12. Nasibunduki

    Napenda mke wangu anisusie tukiwa faragha

    😂😂😂😂😂Sawasawa mkuu nmekuelewa
Back
Top Bottom