Wakuu samahani ,hiv milk pasteurizer machine pekee inaeza saidia kuanzisha biashara ya youghut niko mwanza naomba msaada ,nataman kufungua fresh milk and youghut shop
Habari wakuu samahan naomba kuuliza,na mdogo wangu WA kike kamaliza form four alisoma masomo ya art na kapata four ya 28 ,NAMPANGO wakumpeleka veta akasome motor vehicle mechanics ,swali langu ni je akihitimu mafunzo veta akapata FTC Anaweza kuapply kusoma diploma hapo chuoni kwenu au Hakuna...
Ni kwema wakuu habar za siku tupeane location wapi tufunge karasha maana huku shilalo Kwa SASA njaa ni Kali, material adimu ,Kwa SASA gharama za uendeshaji ni mtiti bin mufilis
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.