Bandari haina faida SASA, kwa sababu ipo chini ya mafisadi wanaotumia dola kuiba, tukiweka mkataba bora na kuwapa private sector tutakuwa vizuri zaidi. Serikali inapaswa kuwa regulator tu, kazi zote zifanywe na private sector.
Cha muhimu, mkataba usukwe kwa maslahi mapana ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.