Hivi majukwaa ya CCM ni nani wanayaandaa?

Hivi majukwaa ya CCM ni nani wanayaandaa?

E Fm Ndiyo Waliopata Tender Kufunga Majukwaa Yote Ya Mgombea Nafasi Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kwa Tiketi Ya Chama Dola

Tangu Uzinduzi Wa Campaign Ccm Dodoma, Wao Hufunga Kila Kitu, Baada Ya Kuwashinda Clouds Fm Kwenye Kutafuta Kazi Hiyo. ATAKAPO Hutubia ,Mgombea Hasa Hasa Kwa Muda Mrefu Sana Utakuta Kazi Hiyo Imefanywa Na E Fm
 
Kama Kuna MTU Alikudanganya Akakwambia Chadema Imekufa, Nikuambie Sasa Mimi Nimeshuhudia Chadema Iko Mioyoni Mwa Watu, Aseee.

Kwa taarifa yake huyo mpuuzi aliyetoa kauli hiyo ya kidwanzi, ataanza kufa yeye na Chadema ataiacha ikizidi kustawi.
Ipo huko uliko wewe na nyumba yako ila huku ni CCM
 
Ipo huko uliko wewe na nyumba yako ila huku ni CCM
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
 
Ni swali ninalojiuliza sana, maana inaonekana wanaofunga stage hIzo ni wataalamu wa matamasha ya kufuatana mfano leo nImeona Mbeya mjini na Vwawa stage kote za maana. Je, ni nani wapo nyuma ya hili maana naona wanafanya kwa mafanikio makubwa.

Je, ni prime time wa mawingu (clouds) au wale wa maisha club (e-fm?) Au nje ya hapo ABE pro sound labda, majibu nasubiri.
Stage za Rais na ski mgombea. Mind you bado ni President. Angalia jukwa za Nyerere alipokua anatafuta kuungwa mkono wakati wa harakati za kutafuta Uhuru.

Kwahio no majukwaa ya Mkuu wa nchi.
 
Ni swali ninalojiuliza sana, maana inaonekana wanaofunga stage hIzo ni wataalamu wa matamasha ya kufuatana mfano leo nImeona Mbeya mjini na Vwawa stage kote za maana. Je, ni nani wapo nyuma ya hili maana naona wanafanya kwa mafanikio makubwa.

Je, ni prime time wa mawingu (clouds) au wale wa maisha club (e-fm?) Au nje ya hapo ABE pro sound labda, majibu nasubiri.
Hiii haiwez kufutwa kwa kuwa inasifu
 
Pesa yetu watanzania iliyoibiwa ndiyo inayofanya huu ufahari kwa mtu mmoja nchi nzima.
MBOWE SACCOSS LTD trading as Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

makao makuu.jpg
 
E Fm Ndiyo Waliopata Tender Kufunga Majukwaa Yote Ya Mgombea Nafasi Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kwa Tiketi Ya Chama Dola

Tangu Uzinduzi Wa Campaign Ccm Dodoma, Wao Hufunga Kila Kitu, Baada Ya Kuwashinda Clouds Fm Kwenye Kutafuta Kazi Hiyo. ATAKAPO Hutubia ,Mgombea Hasa Hasa Kwa Muda Mrefu Sana Utakuta Kazi Hiyo Imefanywa Na E Fm
Ilianzia dar
 
Stage za Rais na ski mgombea. Mind you bado ni President. Angalia jukwa za Nyerere alipokua anatafuta kuungwa mkono wakati wa harakati za kutafuta Uhuru.

Kwahio no majukwaa ya Mkuu wa nchi.
Ila dunia imebadilika yapaswa kuwekeza pesa ndefu katika mikutano siku hizi kwa ajili ya kusikika vyema pia kuonekana......
 
Hivi Wale waliodondoka na jukwaa ilikuwa wa chama gani ,vile
 
Back
Top Bottom