Sawa kiongozi, hata hivyo nafanya kazi ya uchambuzi wa vitabu mbalimbali unaweza "kunfollow" pia "facebook" kwa majina ya Leonard Julius au kutumia email shiganga2010@gmail.com
Habari za majukumu wanajukwaa, bila shaka ni wazima wa afya.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu;
Ndugu wanajukwaa naombeni ushauri wenu hasa kwa nyie wazoefu na hii kitu inayoitwa "Masters of Arts in International Cooperation and Development" inayotolewa na Chuo kikuu Huria cha...
________________________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND)
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Kitabu hiki kimeandikwa na T. HARV EKER, na kimechapishwa mnamo mwaka 2005.
KUHUSU MWANDISHI...
EPISODE ONE
________________________________
UCHAMBUZI MAKINI WA KITABU CHA:
"SIRI ZA AKILI YA MTU TAJIRI" (SECRETS OF THE MILLIONAIRE MIND).
NA:
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Kitabu hiki kimeandikwa na T. HARV EKER, ambaye ni milionea, mwandishi na mzungumzaji maarufu...
MAJIBU SAHIHI YA SWALI LA MSINGI "NIFANYE BIASHARA GANI?"
NA,
LEONARD JULIUS SHIGANGA WA MWANAMATINGATINGA.
Watu wengi hasa wale wanaopata mtaji na kuwa na nia ya kufanya BIASHARA mbalimbali katika maeneo yao, wamekuwa wakijiuliza sana hili swali "NIFANYE BIASHARA GANI?"
# LEO NIMEONA KUWA...
Majibu sahihi ya swali la msingi "Nifanye biashara gani?"
Na,
Leonard julius shiganga wa mwanamatingatinga.
Watu wengi hasa wale wanaopata mtaji na kuwa na nia ya kufanya biashara mbalimbali katika maeneo yao, wamekuwa wakijiuliza sana hili swali "Nifanye biashara gani?"
# leo nimeona kuwa...
Ndugu yangu hoja hapa sio aina ya biashara unayotaka kufungua, hoja kubwa hapa ni kwamba, "how do you see yourself in that business?" Kwa maana nyingine ukijiangalia, kujipima, kujitathimini na kujikagua ndani mwako mwenyewe unajiona unaweza kuwa bora kwenye biashara gani kati ya hizo ulizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.