Sikupata msaada kabisa , taarifa hizi ninazihitaji bado maana tayari nishapata eneo, na nilianza kutafuta elimu ya kilimo , ili nizalishe na kuprosses, taaruma ya food prossecing naona itachukua mda mrefu pia, ningepata wa kuniongoza ingependeza sana
nimewaza kuanzisha biashala hii ya spare za pikipiki ,nina idea ya ufundi kwa matatizo madomadogo kama kurekebisha tapet na kurekebisha vitu vingine tofauti na kugusa engine pamoja na wiring,
ningependa nisaidiwe makisio ya garama itakayo hitajika kufugua duka la kuanzia, huku toyo ndo nyingi...
Sio kweli, nilihama toka bwiru to twitange baada ya kunolewa kuchomolewa na mgomo wa 2002 na kuona nita-feil ,nilio waacha hawaku-pass na mimi niko ktk ajira na niko fiti ni first class tu vyuoni.
Nipo mwanza nina elimu ya kati (marketing) kwa atakayehitaji msaada wowote toka kwangu tuwasiliane,kutafuta chochote, kufanya chochote halali niko tayari
Nyinyi huwa hamsomi thread, nimesema kjjn unanunua 300sh kwa lita na unauza 700kwa lita mjini, (300 ni bei kama unachukua maziwa mengi kuanzia lita 40,)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.