Pole sana mkuu!!! Nilishawahi kutana na tatizo linafanana na hili lako ila mi wife ndio alikuwa muhanga. Ilikuwa kila nikikutana nae lazima awashwe sana. Ilinitesa hiyo hali kwa muda zaidi ya miaka mitatu na hakukuwa na raha ya tendo tena.
Tulishafanya vipimo vyote lakini hakuna ambae alikutwa...
Kila mbabe na mbabe wake duniani hapa. Huyo akikutana na wakina mongoose au honey burger basi hana ujanja wowote zaidi ya kuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.