King In The North
Member
- Mar 13, 2019
- 64
- 30
Wakuu habari.
Nitaandika kwa kifupi sana.
Ninawashwa pumbu tangu 2016.
Awali nilitumia dawa nyingi mno lakini wapi.
Nilipandishaga uzi hapa nikashauriwa nitumie cream ya skerdem. Kweli ilinisanidia nikapona kabisa ila baada ya mwezi ikarudi tena.
Hii cream ndo cream pekee ambayo nikipaka inanipa ahueni. Nyingine nyingi hazipunguzi hata muwasho.
Kinachoniumiza ni kuwa, wife pia namwambukiza. Ila yeye akitumia dawa anapona shida ni kuwa kwavile uvumilivu unatushinda, tunajikuta tumefanya tendo na yeye kuambukizwa tena.
Mimi kila dawa nayoijaribu inadunda. Au hata nikipona inarudi baada ya muda. Boxer nazifua na sizirudii nikioga.
Nimetumia dawa za hospital na mitishamba lakini wapi
Nimezunguka kwa dermatologists wa kairuki hospital na muhimbili ila wote wameishia kunipa pills na cream tu. Na siponi.
Halafu pumbu zangu ukiziangalia ni kama hazina shida yoyote ile. Zipo normal tu hazina mabaka wala chochote kinaochoashiria kama zina shida..ila muwasho wake si wa kitoto
Naombeni msaada wenu wakuu. Naamini kwa huu uzi wa leo nitapata suluhisho la kudumu kwa uwezo wa Mungu.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaandika kwa kifupi sana.
Ninawashwa pumbu tangu 2016.
Awali nilitumia dawa nyingi mno lakini wapi.
Nilipandishaga uzi hapa nikashauriwa nitumie cream ya skerdem. Kweli ilinisanidia nikapona kabisa ila baada ya mwezi ikarudi tena.
Hii cream ndo cream pekee ambayo nikipaka inanipa ahueni. Nyingine nyingi hazipunguzi hata muwasho.
Kinachoniumiza ni kuwa, wife pia namwambukiza. Ila yeye akitumia dawa anapona shida ni kuwa kwavile uvumilivu unatushinda, tunajikuta tumefanya tendo na yeye kuambukizwa tena.
Mimi kila dawa nayoijaribu inadunda. Au hata nikipona inarudi baada ya muda. Boxer nazifua na sizirudii nikioga.
Nimetumia dawa za hospital na mitishamba lakini wapi
Nimezunguka kwa dermatologists wa kairuki hospital na muhimbili ila wote wameishia kunipa pills na cream tu. Na siponi.
Halafu pumbu zangu ukiziangalia ni kama hazina shida yoyote ile. Zipo normal tu hazina mabaka wala chochote kinaochoashiria kama zina shida..ila muwasho wake si wa kitoto
Naombeni msaada wenu wakuu. Naamini kwa huu uzi wa leo nitapata suluhisho la kudumu kwa uwezo wa Mungu.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app