Habarini wana ndugu,
Nataka kujua eneo/ sehemu nzuri ya kula chakula (inayopika chakula kizuri) na kwenye mandhali nzuri iliyotulia.
Ningependelea zaidi maeneo hayo yawe kuanzia Mwenge kuelekea Makumbusho au Mwenge kuelekea Ubungo,
Naomba mwenye kujua anijuze wakuu.
Natanguliza shukrani...
Anayueza simu tajawa hapo juu, naitaji
Sifa
Isiwe ya wizi
Isiwe na mipasuko yeyote
life time ya betry izingatiwe
Bei iwe ya mkulima wa jembe la mkono
Karibuni
Nimenunua leo boss bado sijaifunga, vipi ubora wake upoje mkuu ebu nidadavulie kidogo maana nimekutana na sms kwenye huu uzi unazungumzia ubovu wa LG nimepata mashaka na utumbo kuanza kuuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.