SIMIYU VODACOM HUDUMA
MANAGER KANIAMBIA NIENDE NIKAONANE NA UONGOZ VODA
ALICHODAI HAWEZ KUNISAIDIA
SABABU NILIANDIKA UJUMBE KWENYE KURASA ZA VODACOM TANZANIA MESENJA
KWA HIYO NILIHARIBU SURA YA VODACOM PAMOJA NA YEYE NILIMHARIBIA
Kwa maana hiyo hatoweza vinginevyo niende uongoz wa juu
Pia...
Mimi Niko Gamboshi ...Kwanza Gamboshi ni Kijiji..na shughuli zinaendelea Kama kawaida tu ...
Unachojaribu kuelezea bado huelewi
Gamboshi ni UFALME..wa kundi jadi asili yangu na yangu
Mambo yao ni Siri nzito
Ukitaka jua ZAIDI njoo Gamboshi ..ujiunge nao hao vigagula
Technology iliyoko...
Mnaojua hili
Kwa wateja wapya wa line za simu kusajiliwa kielectronic... Pia vodacom Wana simu za kielectronic... Mi siwaelewi Hawa jamaa... Tupeni elimu Mnaojua program zipi zinatumika kwa hiz smart phone
Naingia moja kwa zote kwenye mada. Nina wasichana wawili mmoja ana kipato namaanisha kazi, msichana wa pili yuko kijijini mkulima, niko kwenye wakati mgumu nahutaji kuoa kati yao.
Na mimi sina kazi naunga unga tu kimjini siku zinaenda.Sasa basi huwa napata msaada wa kifedha kwa huyu msichana...
Mtaoa mada hapa ana matatizo ya kisaikolojia... labda nimuulize bei ya cement .....pili anunue kiwanja aanze kazi... tatu... siku zote mpangaji huna haki... mwenye nyumba ni mali yake kwa hiyo anayo haki ya kuandaa mkataba yani makubaliano na mpangaj.. ukiona ni magumu sepa au kajenge yako....
Huuu Mtego hiii isue nimeinusa... yani mleta mada anapima iQ za watu.... anaedit kichwa habari... bado naendelea kunusa... tabia mtu huliflect kwenye kipaji cha uso wake... nimeona
Mmmmmmmh humu kuna ma-carlos.... ma osama.... mi nasepa... ila haya majamaa ni maelewa sana ila mi naogopa mengne yanamajina yA madawa.... sijui morphine.... polonium... lingne linajiita.... dengue.... harafu kwinin.... mi siji tena hapa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.