dah pole sana ukwel kamali ni mbaya mimi mwenyewe ni muhanga wa kamali uliyoptia wew ni sawa na mimi tu ila mungu mkubwa sasa nimeacha kabisa na nimesahau kabsa naendelea na maisha yangu ila pole sana ndugu yangu
Shikamoo wakubwa pole na majukumu na mihangaiko mimi ni mgeni naomb mnipokee .
Shukrani nyingi ziende kwa mwanzilishi wa JamiiForums kutokana na kuazisha jukwaa hili kupitia jukwaa hili nimejifunza mambo mengi mazuri pia shukrani kwa kaka Mshana jr kwa kutoa elimu mbalimbal kifupi nimejifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.