Hizi report zipo tangu na tangu mdau,labda wewe ndio umeona leo, ni kwamba 10% tu ya dawa ndo hubaki Tanzania mzigo hupita kwenda Kusini mwa Africa, na Tanzania ndo langu kuu la kupitishia dawa ukanda wa SADC, hii ilishawah kuripotiwa na mzee Membe tangu zama za JK
Sheria wanazozipenda ni Cyber Act, Sheria ya huduma za habari na MAZUIO ya MIKUTANO YA KISIASA ambayo sijui ni sheria gani...................sheria ya tangu 2015 hadi leo wameshindwa kuijua.................
Wakati huo anapigwa chini mwenyekiti wa CCM atakuwa ni nani?Mbona kuna vitu havihitaji ramli wadau?JPM ndiye mwenyekiti wa CCM Taifa, inamaana ataidhinisha jina lake likatwe?Is It Possible?
Kwa mujibu wa hiyo pos inaonesha kesho kuna orodha mpya.Sasa anakuwa anawapa kazi Polisi unaona sasa wamemkuta Gwajima clean, unapotangaza majina kama vile unakuwa na uhakika wa 100% juu ya wale washukiwa
Awamu ya 1 hawajaripoti wote, awamu ya 2 hawajareport wote tena wameripoti wachache sana,mnapokwenda mbele pia mnafanya na tathmin ya mlikotoka.........VITA NDO INANOGA
Central Police ipo Ilala,na huyu alikuwa Mbunge wa Kinondoni.
Usifananishe na O'bei ambayo ipo Kinondoni, na usimfananishe na Mussa Azzan Zungu wa Ilala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.