Route ya kusini ya madawa ya kulevya, serikila inalijua hili?

selemala

JF-Expert Member
Feb 14, 2007
370
253
Nimetoka kusoma (na kusikiliza) habari ya mwaka jana kuhusu route (njia) ya kusini inayotumiwa na wasafirishaji wa madawa ya kulevya, kama picha inavyoonyesha.

route.jpg


Inasemekana madawa yanatokea Afghanistan kwa njia ya bahari na kuingia Afrika kwa kupitia Tanzania( na wakati mwingine Kenya), kwa lengo la kwenda Afrika Kusini ambako ndio hutokea kwenda Ulaya, Australia etc.

Swali: je Serikali ina taharifa hizi?

Sidhani kama vita dhidi ya matumizi na usambazaji wa madwa ya kulevyo ni swala la mkoa mmoja, hili ni swala la kitaifa. Kama kweli serikali imeamua kupambana kwa hili, naona si vyema kumuachia Makonda, badala yake hii vita iwe ya kitaifa. Ikiwezekana kuwe na kikosi maalumu cha kupambana na janga hili.


source: Pushing heroin through South Africa
 
Nimetoka kusoma (na kusikiliza) habari ya mwaka jana kuhusu route (njia) ya kusini inayotumiwa na wasafirishaji wa madawa ya kulevya, kama picha inavyoonyesha.

View attachment 469878

Inasemekana madawa yanatokea Afghanistan kwa njia ya bahari na kuingia Afrika kwa kupitia Tanzania( na wakati mwingine Kenya), kwa lengo la kwenda Afrika Kusini ambako ndio hutokea kwenda Ulaya, Australia etc.

Swali: je Serikali ina taharifa hizi?

Sidhani kama vita dhidi ya matumizi na usambazaji wa madwa ya kulevyo ni swala la mkoa mmoja, hili ni swala la kitaifa. Kama kweli serikali imeamua kupambana kwa hili, naona si vyema kumuachia Makonda, badala yake hii vita iwe ya kitaifa. Ikiwezekana kuwe na kikosi maalumu cha kupambana na janga hili.


source: Pushing heroin through South Africa
Hizi report zipo tangu na tangu mdau,labda wewe ndio umeona leo, ni kwamba 10% tu ya dawa ndo hubaki Tanzania mzigo hupita kwenda Kusini mwa Africa, na Tanzania ndo langu kuu la kupitishia dawa ukanda wa SADC, hii ilishawah kuripotiwa na mzee Membe tangu zama za JK
 
Hizi report zipo tangu na tangu mdau,labda wewe ndio umeona leo, ni kwamba 10% tu ya dawa ndo hubaki Tanzania mzigo hupita kwenda Kusini mwa Africa, na Tanzania ndo langu kuu la kupitishia dawa ukanda wa SADC, hii ilishawah kuripotiwa na mzee Membe tangu zama za JK
Halafu mijitu na migwanda yao eti inamtishia nyau Makonda,kwa Makonda wamebugi step hata uwe nani utatajwa tu,wao walimtaja Lowassa na wakafanya ndio sera yao sasa nao wanatajwa eti wataenda mahakamani ,hah hah mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
 
Halafu mijitu na migwanda yao eti inamtishia nyau Makonda,kwa Makonda wamebugi step hata uwe nani utatajwa tu,wao walimtaja Lowassa na wakafanya ndio sera yao sasa nao wanatajwa eti wataenda mahakamani ,hah hah mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Mbona neno "eti" umelirudia mara kwa mara. Vipi. Pili ujue watu hawana shida na kupambana na madawa. Bali shida ni "namna au jinsi" ya kudeal na nature ya criminal case. Sio suala la kutoka kitandani na hawala yako na kutangaza. Hapo ndipo kiiini. Sasa esilete 'eti'.
 
Back
Top Bottom