Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,638
- 8,571
Pumbavu wewe! Amesema hakujua au hakuletewa mapendekezo mpaka akaamua kuteua mwenyewe. Unafikiri wengine hatukusikia? Pumbavu tena!Mh Rais amesema hakujua kama alitakiwa kuchagua kamishna wa mamlaka ya dawa za kulevya,na hata hakuletewa mapendekezo ya majina ya watu wa kuteuliwa!.
Mh amesema hata waziri mkuu hakujua kama yeye ni mwenyekiti wa baraza la kudhihiti dawa za kulevya na hata mawaziri waliotajwa na sheria walikuwa hawajui kama nao ni wajumbe,na kama wamejua basi wamejua jana!.
Siku zote naamini sana katika kutoa maoni yanayoonesha udhaifu wa kampeni hii,tulipiga kelele sana kutaka baraza na mamlaka zifanye kazi kwa mujibu wa sheria,baadhi hawakutuelewa wakadhani tunaipinga kampeni hii!.
Tulihoji inakuaje tunaanza vita hivi bila mamlaka,tunapambanaje huku baraza lipo kimya?tukashauri uwajibikaji wa pamoja ni muhimu katika vita hii,kinyume na hapo hatutafanikiwa!.
Leo nimemsikia Rais akivitaka vyombo vyote vya kimamlaka sasa kuwa active!,
My take!.
Mh Rais kaa na wasaidizi wako,wape semina wajue mamlaka yao kisheria ili wakusaidie kufikia malengo uliyojiwekea!.
By Doto Bulendu