Recent content by Nancybintiyangu

  1. N

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ingekuwa na wanachama laki 4 tu na wote wakachangia Tshs 1,000. Wangekuwa na Milioni 400

    Uongo mbona CCM ina maduka na viwanja na masoko hadi frem, shule na vyuo@
  2. N

    JamiiForums Tanzania CAG: Baadhi ya Taasisi za Umma zilisaini mikataba bila mapitio ya Kisheria, ikiwemo TANESCO (Tsh. Bilioni 12) na UDOM (Tsh. Bilioni 4)

    Ripoti ya CAG huwa ni ya uongo....huwezi kuingia mkataba bila kupita kwa mwanasheria
  3. N

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) Kanda ya Ziwa tunapitia magumu

    Sasa ukiandika hapa nani anaona?...nenda kaandike instagram mtagi raisi na viongozi
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Hahahaha we jamaa unapambana na mungu siku nyingi
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona Morogoro, ni sahihi kusema Serikali ya CCM inachelewesha maendeleo ya huu mkoa kwa makusudi kabisa!

    Hawa ndio wanaosabbisha watu wanaenda kutupa hela shamba wakijua watafaidika kumbe wajinga kama hawa wamewadangaya....mm nko malinyi hizo hekari 60 haziwezi kutoa gunia hizo.....afu mvua za morogoro sio za kistaharabu zina fujo nyingi sana....unaweza ukawa na shamba na usilime hata miaka 3...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na rafiki Msauzi labda akuzidi kipato, awe bosi, au kuna michongo bila wewe haitiki, Nje ya hapo kaa chonjo, kupigwa shaba na kuvamiwa kawaida

    Ile nchi ina matahira wengi...hawaheshimu binadamu wengine kutoka nchi zingine
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tukio ambalo sitalisahau kabisa

    Ndoa yangu ina hizi tabia...mama mtu ni mbulu...ni mzuri haswa...hilo la mtoto kuumwa ilibaki kidogo nimpoteze binti yangu....ila nilimkimbiza St francis hospital -ifakara. Aliponea huko....mama mtu ni mzembe vibaya mno...na ni mchafu...kitoto kinaumwa kila siku...kinawashwa mwili, upere, na...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Hivi Mwijaku unataka kusema wewe unaifahamu game na majiji hapa Tz mpaka Dudu baya

    Kwahiyo sasahivi tumuite BALA HATUN
  9. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awateua Dkt. Mpango na Kassim Majaliwa kuwa washauri wake

    Hicho cheo kina mshahara
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wakristo Syria washeherekea Krismasi chini ya mtutu wa bunduki

    Kwa tz hapa haiepukiki kwa miaka ya mbeleni...msingi ndio huu wa sasa...hatatokea tena rais mkiristo... Ndio imetoka hiyo
  11. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Taasisi ya Mwalimu Nyerere yaandaa kongamano kuzungumzia Amani

    Hivi vizee havitakagi kuzungumzia haki....vinajuaga amani ya kunyamaza bila kusema chochote...ila haki havitaki kusema
  12. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kweli yaan kusubili sana story inapoteza radha
  13. N

    JamiiForums Tanzania KERO Ni mateso kwa ajira mpya Halmashauri ya Msalala-Kahama

    Hapo kuna mkurugenz Rose manumba ni mgumu mno huyo dada....atawasumbua sana
  14. N

    JamiiForums Tanzania JWTZ, kwa huu Ufisadi unaoendelea nchini, tukubaliane tu muongoze kipindi cha mpito kulipatia Taifa Katiba Mpya

    Ww kama unajiamini na ni mzalendo mbona hujaongea hadharani kwa watu unajificha huku
Back
Top Bottom