Kwa kweli inasikitisha kuona viongozi tuliowapa madaraka wanavyokuwa wabinafsi kutokua na huruma na roho za watu zinazoteseka kisa tu hayupo upande wao.. Nawaomba sana Hawa watekaji waangalie pia upande wa pili.. Kama wanaulinzi mkali basi wajitahidi hata shangazi zao. Tuone Kama watatoa kauli...
huu ni ukweli usio na shaka kikwete na pinda walijua na kuratibu mpango mzima wa hili deal la escrow. walipaswa kuondoka wao. lakn ndo kwanza alikimbilia kuondolewa tezi dume ili upepo upite kama kawaida.kwa kweli inatia hasira kuona watanzania tunaendelea kuibiwa na kuaminishwa kuwa tu masikini...
Huyo salva asemacho hana uhakika. Anamjua vizuri Vasco? Analifaham vizuri tu hilo deal.na atasign tu. Hana la kupongezwa. Vasco ni yule Jana Leo na hata milele. Snura tupuuu
mahakama zetu kamwe hazipo huru, kila kitu kinafanyika kwa masirahi ya ccm. lakini wakumbuke ule mwisho wao haupo mbali na utakuwa mchungu kwa jinsi wanavyojijengea mazingira. mapambano ni lazima. haki na dhuluma kamwe haziwezi kukaa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.