GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Alipotoa tu tamko lake kuhusu kushuka kwa bei ya korosho hofu ikanishika kuwa huenda zao likaingia kwenye msukosuko safari hii. Jambo kubwa lililonifanya nipatwe na Mashaka na ZITO kabwe ni kuwa ametangaza kushuka kwa Korosho kwenye soko la dunia mapema sana, palikuwa na muda mrefu tu ambao ungeweza kuleta mabadiliko ya soko lakini alijitokeza na kushupalia kana kwamba bei hiyo ni Fixed.
Sijawahi kumuona Zito akiwa mstari wa mbele kuizungumzia korosho katika zama ambazo hapa kwetu korosho iliuzwa bei ndogo huku soko la dunia ikiwa bei kubwa Mara hii amejitokeza mapema sana baada ya misimu miwili kupita ikiwa ya neema kubwa kwa wakulima. Hili linanipelekea kuhisi kuwa Zito kuna maslahi anayapata kutoka kwa baadhi ya makampuni ya korosho ambayo yanapunja wakulima.
Hii inanifanya nihisi kuwa zito hana tofauti na kile kikundi ambacho kimefanya hujuma ya Kuweka kokoto kwenye magunia ya korosho. Amesimama kidete kudai pesa za Exp. levy ambazo kwa kiasi kikubwa hazikuwa zikimnufaisha mkulima na ni BORA MUHESHIMIWA RAIS AMEAMUA zirudi hazina.
Zito ni KIRUSI.
Sijawahi kumuona Zito akiwa mstari wa mbele kuizungumzia korosho katika zama ambazo hapa kwetu korosho iliuzwa bei ndogo huku soko la dunia ikiwa bei kubwa Mara hii amejitokeza mapema sana baada ya misimu miwili kupita ikiwa ya neema kubwa kwa wakulima. Hili linanipelekea kuhisi kuwa Zito kuna maslahi anayapata kutoka kwa baadhi ya makampuni ya korosho ambayo yanapunja wakulima.
Hii inanifanya nihisi kuwa zito hana tofauti na kile kikundi ambacho kimefanya hujuma ya Kuweka kokoto kwenye magunia ya korosho. Amesimama kidete kudai pesa za Exp. levy ambazo kwa kiasi kikubwa hazikuwa zikimnufaisha mkulima na ni BORA MUHESHIMIWA RAIS AMEAMUA zirudi hazina.
Zito ni KIRUSI.