Mlio karibu na Lema tafadhalini mzidi kumkumbusha wajibu wa Mbunge

Mkumbushe yule MUNGIKI kuwa hakwenda ikulu kwa kumwaga damu wala kuteka.
Anaongoza kwa muda tu atuache salama kama alivyotukuta.
 
Imekuwa ni kawaida kwa Mheshimiwa Lema, kukacha kila kila tukio la kitaifa linaloandaliwa na serikali mkoani Arusha.

Muda huu kuna Kunafanyika Kilele cha Urithi Wetu Festival Kitaifa mkoani Arusha, ndandi ya Jiji la Arusha ambalo Mheshimiwa Lema ni Mwakilishi wa Wanannchi Bungeni.

Tukio husika mgani rasmi ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ni jambo la aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kutopeleka wabunge wanaowakilisha mkoa wa Arusha ambao wangetumia fursa hii kuwa karibu na Waziri Mkuu pia kujumuika na wananchi waliowapigia Kura.

Mlio karibu na Mheshimiwa Lema tafadhalini mzidi kumkumbusha wajibu wa Mbunge, bado hajachelewa ajirekebishe ili mwaka 2020 aweze kuchaguliwa tena na wapiga kura wa Arusha Mjini. Mwambieni akubali yaishe, afanye kazi na RC Mrisho Gambo ili wawaletee maendeleo wananchi wa Arusha.

Ni vizuri afuate busara anazotumia Meya wa Jiji, Kalist Lazaro ambaye ni kada wa CHADEMA ambaye anawajibika ipasavyo kwa wananchi pasipo kujali uwepo wa viongozi wa CCM.
Aende ili atolewe maneno ya kejeli ili ufurahi?
 
Andiko lako ni la kijinga sana ! Na sasa naamini wewe ni mwanaccm kidampa ambayeni wa kadi tu na wala hujui mikakati ya chama chako dhidi ya chadema , kama ungejua basi bila shaka usingethubutu kuleta andiko hili , Ni hivi , viongozi wa ccm wanao mkakati ulioidhinishwa na kukubaliwa wa kuwamaliza viongozi wa chadema kwa njia zozote zinazowezekana , iwe kwa mashoka , bunduki , sumu , Uchawi na kila silaha iliyo karibu , ushahidi uko wazi sana , wewe binafsi labda na mama yako mzazi mnafahamu .

Kwenye mikutano ambayo wauaji hawa wapo unahudhuria ili iweje , ukipata matatizo utamlaumu nani ? NI HERI KUSHIRIKIANA NA MWOVU SHETANI KULIKO KUSHIRIKIANA NA CCM KATIKA JAMBO LOLOTE .
Wewe ni mzushi. Sijui unatumia kitu gani.kufikiri. Pole sana kwa ufinyu wa fikra
 
Huku mnatulenga risasi
Huku mnatuteka
Kule mnatunyang'anya Mali Kisha mnataka tuwe karibu na nyie!??
Ndugu mtoa post ungekuwa karibu na mimi ningekufua banzi mpaka mkojo upite!
 
urith wetu ni ile ruzuku ambayo mwenyekiti wa CDM anaila kiulaiiiniiii na nyie hamuoni
Wewe unawashiwa nini sasa, wimbo wapigiwe wengine wewe ukate mauno. Dah tunatatizo la msingi kwa hiki kizazi bazazi.
 
Wewe unazidi kumaliza kisiasa mbunge Lema, wananchi wa Arusha wangefurahi sana kwenye tukio kubwa kama hili mbunge wao anashiriki kikamilifu, basi kwa vile hataki tena kurudi mjengoni mwaka 2020, aendelee na tabia yake ya kukwepa matukio makubwa ya kitaifa yanayofanyika Arusha. Pongezi kwa wananchi wa Arusha Mjini kwa kujitambua na kuungana na jitihada za kimaendeleo zinazofanywa na CCM.

Si ushindi mshapanga kama kawaida au? mnatuona mazoba ya maigizo chukueni viti vyote vya ubunge kama Magufuli anavyotaka halafu tuone viwanda vitakavyoongezeka.
 
Kipindi fulani kulikuwa na kauli kuwa kuna jimbo moja la uchaguzi chama fulani kikipendekeza kuweka tofauli kwenye uchaguzi na kushindana na vyama vingine, tofali lingeshinda. Hizi kauli sizisikii tena siku hizi!! Wananchi wamechoka kutukanwa, kudharauliwa, kukashifiwa...na mengine kama hayo. Hongera watanzania kwa kujitambua.
 
Kipindi fulani kulikuwa na kauli kuwa kuna jimbo moja la uchaguzi chama fulani kikipendekeza kuweka tofauli kwenye uchaguzi na kushindana na vyama vingine, tofali lingeshinda. Hizi kauli sizisikii tena siku hizi!! Wananchi wamechoka kutukanwa, kudharauliwa, kukashifiwa...na mengine kama hayo. Hongera watanzania kwa kujitambua.

Mpaka leo haki ikitendeka tofali linashinda, sasa hivi ni maigizo kama Bashiru Ali anavyosema, ushindi kwanza uchaguzi baadae, halafu eti mnakemea watoto wasiibe mitihani, wasiibe kwa nini wakati wazazi wao nyie ni cheaters wakubwa? Pathetic
 
Kipindi fulani kulikuwa na kauli kuwa kuna jimbo moja la uchaguzi chama fulani kikipendekeza kuweka tofauli kwenye uchaguzi na kushindana na vyama vingine, tofali lingeshinda. Hizi kauli sizisikii tena siku hizi!! Wananchi wamechoka kutukanwa, kudharauliwa, kukashifiwa...na mengine kama hayo. Hongera watanzania kwa kujitambua.
Hongera watanzania au hongera polisi na NEC.
 
Imekuwa ni kawaida kwa Mheshimiwa Lema, kukacha kila kila tukio la kitaifa linaloandaliwa na serikali mkoani Arusha.

Muda huu kuna Kunafanyika Kilele cha Urithi Wetu Festival Kitaifa mkoani Arusha, ndandi ya Jiji la Arusha ambalo Mheshimiwa Lema ni Mwakilishi wa Wanannchi Bungeni.

Tukio husika mgani rasmi ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ni jambo la aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kutopeleka wabunge wanaowakilisha mkoa wa Arusha ambao wangetumia fursa hii kuwa karibu na Waziri Mkuu pia kujumuika na wananchi waliowapigia Kura.

Mlio karibu na Mheshimiwa Lema tafadhalini mzidi kumkumbusha wajibu wa Mbunge, bado hajachelewa ajirekebishe ili mwaka 2020 aweze kuchaguliwa tena na wapiga kura wa Arusha Mjini. Mwambieni akubali yaishe, afanye kazi na RC Mrisho Gambo ili wawaletee maendeleo wananchi wa Arusha.

Ni vizuri afuate busara anazotumia Meya wa Jiji, Kalist Lazaro ambaye ni kada wa CHADEMA ambaye anawajibika ipasavyo kwa wananchi pasipo kujali uwepo wa viongozi wa CCM.
Kwa hiyo hao wapiga Kura wanakuwa available only Kwa hilo tukio ?
Si kila siku Yuko nao Arusha ?
 
Andiko lako ni la kijinga sana ! Na sasa naamini wewe ni mwanaccm kidampa ambayeni wa kadi tu na wala hujui mikakati ya chama chako dhidi ya chadema , kama ungejua basi bila shaka usingethubutu kuleta andiko hili , Ni hivi , viongozi wa ccm wanao mkakati ulioidhinishwa na kukubaliwa wa kuwamaliza viongozi wa chadema kwa njia zozote zinazowezekana , iwe kwa mashoka , bunduki , sumu , Uchawi na kila silaha iliyo karibu , ushahidi uko wazi sana , wewe binafsi labda na mama yako mzazi mnafahamu .

Kwenye mikutano ambayo wauaji hawa wapo unahudhuria ili iweje , ukipata matatizo utamlaumu nani ? NI HERI KUSHIRIKIANA NA MWOVU SHETANI KULIKO KUSHIRIKIANA NA CCM KATIKA JAMBO LOLOTE .
Umeandika ukweli mtupu na umemaliza vyema,Mungu akubariki Sana...
 
Kwani akikosa huo ubunge ndo Arusha itayeyuka.Yako mambo mengi ya msingi yakuwaza.Kama mwananchi unatakiwa uwaze serikali kupitia wizara zake zenye ukaribu na hayo maadhimisho kupitia taasisi zake zinaweza kuboresha vipi shughuli za utalii na mambo mengine ya msingi nasio kumuwaza Lema.
 
Back
Top Bottom