Mkuu huo ugonjwa umeanzia nchi za Afrika Magharibi na chanzo chake kinajulikana sasa nchi za ulaya wao wanauska vp kuusambaza,unajua marekani tu ametoa wanajeshi ,vifaa plus hera kiasi gan kwenda kusaidia,bado Uingereza,Ufaransa leo hii unaona hawafai sometimes hata kama hauzpendi hz nch ni bora...
Mkuu ungesoma vzur ilo tamko,kusema kwamba wakatholic au waruthel wanauska ni kukosa point,ukisoma vzur hlo tamko utaona askofu amekoswa kisu ss sjui kama skuizi makanisa ya kiroho yana maaskofu,harafu pili unajikontradict mwenyewe kusema makanisa ya kilokole yanalazmisha kupata waumin sasa...
Mkuu hata kama Ukawa ikiamua kuongea na kuchambua katiba pendekezwa hyo bado haisaidii kama wananchi wenyewe hawatakuwa na utayari wa kusoma na kuchambua wao wenyewe,hata leo ukifika pale kariakoo ukianza kuwaulza watu kama wameisoma hyo katiba pendekezwa hata ile ya zaman utashangaa majibu...
Mkuu sjaelewa Syria kuna miundombinu gan mikubwa yenye gharama nyng adi Marekan na washrika wake waamue kuibomoa na kuweka vbaraka wao kuijenga na istoshe ukiangalia gharama wanazoingia kurusha ndege,mabomu wanayotumia,meli wanazotumia tayari hzo gharama za miundombinu ya Syria hazfui dafu...
Mkuu uslinganishe Kenya na Tanzania kwenye ishu ya umaskn,wanaweza wakawa maskn lakn sio kama ss na katika ishu ya kibera kuna sehem nyng sana Tanzania zko vbaya nenda tu hapo mchkichn ndio utajua hali ilivyo,hyo kibera vry sun itakuwa transformed na ukiangalia makaz mengi Mfano Nairobi...
Mkuu hv Israel kwenye vita vya Iraq anauska vp?toa prove Israel ndio alidai Iraq ana silaha za maangamiz bila hvyo utakua unaongea kishabiki,unajua chanzo cha vita ya Lebanon ya miaka ya 70s adi 80s?unajua Yaser Arafat alikuwepo,unajua alikuwa anapigana vita na kina nani na maslai gan?ukishajua...
Mkuu usdivert mada kuuwawa kwa huyo mtoa misaada kuna uhusiano gani na Gadaf au Sadam,unaona wako sahh kabsa kuuwa watu wasiokuwa na hatia na isitoshe yy sio mwanajesh ni raia wa kawaida
Mkuu unaweza ukawa unajiusisha na siasa ww lakn kwa kiwango kikubwa vjana wengi hawana habari na siasa wala nchi yao inaenda vp hlo ndio tatzo,ndio maana nikatoa mfano wa mpira watu wako aware na vitu vnaendelea Uingereza kuliko nchi yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.