barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,803
Dah hii Congo hii, mali zote hizo??
Tatizo kila mtu anataka kipande cha keki, mwisho wa siku wajanja wa nje ndo wanakula, wao wakibaki kupigana. Ila ni nchi tajiri saaaaana kwenye ardhi kuna kila kitu.