Nyerere alijisaliti na kuwasaliti watanzania

Unajua wakuu,kumlaumu Nyerere huwezi moja kwa moja. Ni binadamu ambaye alikuwa na mapungufu. Katiba hii tulionayo ilimjengea Mwalimu nguvu sana.iwa bahati mbaya nguvu hio imeangukia pabaya na kwa nia mbaya.
Nyerere kabla hajastaafu angeacha katiba mpya tena ambayo ingeweza kuleta ustawi na haki kwa jamii. Leo raisi ni mungu mtu. Mamlaka yake yamefika mbali wakati yeye nyererw hakufanya ufisadi wala kufanya baya kwenye serikali yake.
I think tumekosea. Namlaumu kikwete kwa maana anaondoka akiacha na kujua kabisa kuna watu wabaya na nia mbaya watatumia mianya hii na nguvu kuangamiza taifa.
Lazima tujieke vipimo katika hya
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea


Kuwa mshabiki hakumaanishi hujihusishi na mambo ya siasa kwani siasa ndio kila kitu, bila kusahau michezo ni one of the highest paid jobs in the world today, kwa hiyo basi tusibweteke na kuona vijana wanaojiingiza kwenye michezo wanapotea. Kama unakumbuka zamani zile oooops ati zamani, I mean wakati wa mwalimu tulikuwa na michezo ya Umiseta nk na tulikuwa tunatambulika duniani kwa kuwa na wanamichezo wenye kuleta raha na kuitangaza nchi mfano Filbert Bay, Nyambui, Shahanga etc. Kila sekta inalipa lakini hivi sasa sports naona ndio kidedea.


BTW mbona hukutaja timu ndogo kama Chelsick ooops basi msije mkaniua bure mtoto wa wenzenu ... ... timu kubwa kiduchu phew! ambao wanajikongoja kwa pesa za wizi etc. khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu unaweza ukawa unajiusisha na siasa ww lakn kwa kiwango kikubwa vjana wengi hawana habari na siasa wala nchi yao inaenda vp hlo ndio tatzo,ndio maana nikatoa mfano wa mpira watu wako aware na vitu vnaendelea Uingereza kuliko nchi yao
 
unajua kuna vitu watu tunadanganyana sana tena ukiangalia the real mastermind wa hii michezo ndo wale mafisadi ya kutupwa. kwenye hoja ya muungano tu ndo ntakuwa kinyume na mwalimu ila vingine vyote ntamsapoti. mimi nadhan tusiandikie mate tuorodheshe asset alizotuachia mwalimu, tuorodheshe alizotuachia mwinyi hapa. tuorodheshe den alilotuachia mwalimu tuje la mwinyi. kipindi cha mwalimu watu walipelekwa jkt, je n nan alifuta mafunzo. je kwenye mafunzo hatufundishwa uzalendo? nani alifuta uzalendo? kipindi cha nyum ulikuwa ukitoka nje ya nchi ukifika sehem kama johanesburg, unajisikia raha kuwa mtz kwa jinsi unavopokewwa, je leo ule ukarimu upo tena, utasikia mijitu humu eti mwalimu ndo kasababisha yote. kama mnataka tuseme ukweli ni. WAISLAMU ACHEN UDINI SIO KWA SABAB MWALIMU MKRISTO NDO IWE SABAB YA KUKOSA UZALENDO. ANGALIEN MFANO WA MARAISI WENU WAMETULETEA NINI. ifike mahali tuorodheshe na makosa ya mwinyi hapa. mwinyi kauza nchi kwa waraab kikwete kamalizia kwa kuua reli zote ili mwanae afanye biashara. kama rais anaweza hongwa suti na zaidi yule alituachia viwanda na mashirika ya ndege au huyu ambae kila mwezi anataka kuishi marekani

Mkuu nasikia Nyerere alitaka muungano kwa hofu ya kuvamiwa, kuna mahali nilisikia kuwa Unguja na zanzibar kwa ujumla inaweza ikatumika na adui vizuri kuja kuivamia Tz, ndio maana jamaa akakazania huu Muungano. Turudi kwenye mada, Kipind cha Nyerere aliacha Elimu ikiwa na ubora wa hali ya juu sana, leo hii wanafunzi wanaofaidi elimu ni wale wanaolioa Mamilioni mashukeni kwao, mtaani ukijulikana unasoma za kata kwanza utajulikana ww masikini, pili elimu yako haifik mbali. Kazi ilikuwa bila rushwa ila siku hizi ni mwendo wa rushwa na kujuana tuu, imefika hatua mtu anaeiibia serikali kwa ufisadi anaonekan mjanja kuliko yule asiyeiba. Maliasili zetu mpaka zinapelekwa nje ya nje kinyemela, hapa nazungumzia wanyama. Sidhani kama Nyerere aliinufaisha familia yake na kuwa bora kuliko watanzania wa kawaida ila leo angalia maishabya Kikwete na ya Mkapa pamoja na familia zao, ukitajiwa utajili wa Riz unaweza ukashangaa. Naomba niishie hapa maana naanza kupata hasira kwa kweli.
 
Mtu anasifia mambo ya ki.punga tu,watu hawajielewi,mwanaume yoyote ambae hela inaweza badili msimamo wake hana tofauti na punga manake hela hiyo hiyo inaweza kukugeuza, ---- dem!
 
Tunajitambua ila vipaumbele vyetu ndivyo viko tenge, tunaishi leo tu hata watoto hatuwafikirii. Walioko makazini wanaibaiba tu wakistaafu wanaanza kulaumu kile ambacho wangetengeza. Hapa usishangae polisi anayewapiga masikini wenzie wanaouza vitu barabarani akifukuzwa kazi anafungua kibanda bila hata kukata leseni.

Nimecheka sana,,,!!! Yaani anawatupia mabomu watu badae nayy anafanya hicho hicho kweli ni AKILI ya KUKU
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea

Tatizo la NCHI za kiAFRICA nahasa TZ waliowengi hawahusishi Matatizo waliyo nayo na watu wanaowatawala,,,,! Ndio maana hata issue muhimu km ya KATIBA ambayo ni future ya Vizazi vi javyo watu wanaleta ushabiki wakiPUMBAVU kabisa napitaga kule FB yaani dah bado tunasafari ndefu sn,,,Angalau wenzetu wa Kenya wengi wao wanajitambua sana,,,!!
 
Ngozi nyeusi ni laana ndugu yangu.Hatujitambui kabisa.

Huko Hong kong wenzute wameshikama kupinga uzalimu wa China.Waanaandamana na hata polisi wa huko si wa hovyo kama hawa wetu ambao wengine wanaishi kwenye kambi za nyumba za mabati ila hawajitambui bali wanaona sifa kupiga waandamanaji.

Ndg yangu mimi inaniuma sana Juzi nilikuwa MTWARA nilisafiri na POLIS mmoja ktk mazungumzo kwenye Safari nikagundua kumbe Polis wetu asilimia kubwa ni WEUPE kichwani,,,,Nilickitika sana,,,!!
 

Kuwa mshabiki hakumaanishi hujihusishi na mambo ya siasa kwani siasa ndio kila kitu, bila kusahau michezo ni one of the highest paid jobs in the world today, kwa hiyo basi tusibweteke na kuona vijana wanaojiingiza kwenye michezo wanapotea. Kama unakumbuka zamani zile oooops ati zamani, I mean wakati wa mwalimu tulikuwa na michezo ya Umiseta nk na tulikuwa tunatambulika duniani kwa kuwa na wanamichezo wenye kuleta raha na kuitangaza nchi mfano Filbert Bay, Nyambui, Shahanga etc. Kila sekta inalipa lakini hivi sasa sports naona ndio kidedea.


BTW mbona hukutaja timu ndogo kama Chelsick ooops basi msije mkaniua bure mtoto wa wenzenu ... ... timu kubwa kiduchu phew! ambao wanajikongoja kwa pesa za wizi etc. khe khe khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kiongozi umeelewa ulichoandika? au umemuelewa anaelaumu vijana kupoteza muda kumjadili Ronaldo,,,Ikiwa nch yao inaongozwa na Majambaz yaliyovaa suti,,??? Hakuna anaesema Michezo ni dhambi sasa hebu tusaidie Kumshabikia MESI kunaongezaje Ubora wa mpira wa miguu kwenye NCHI hii,,,,,!!
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea

Mkuu unatulaum bure kabisa,jiulize kwa nini vijana wanasusia mambo haya na kuwa mwamko kwenye Arsenal na Chelsea?
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea

Mkuu unatulaum bure kabisa,jiulize kwa nini vijana wanasusia mambo haya na kuwa mwamko kwenye Arsenal na Chelsea?
 
Watanzania hasa vjana wako bize kushabikia machester utd na Arsenal,kwenye ishu za maana kama katiba au nchi yao kwa ujumla hawajui ndio kwanza watakwambia hayawausu,sasa hyo ndio shda,wakati vijana wa nchi nyngne wako aware na kila kitu knachowausu wao na nchi yao,angalia kwa mfano Hong Kong vjana wanavyopigania kujikomboa na wao sio maskini kama sisi lakn wanao bado kuna vitu vya ziada wanaitaji kutoka utawala wao,ukija kwetu watu wananjaa lakn ndio hata kushtuka,watu wakiandamana wanaonekana wanavunja aman,sasa unajiulza hao waliondelea wanaandamana kila sku na maisha yanaendelea

vijana wa kitanzania wamewezeshwa kwa kiasi gani? alafu kufuatilia manchester na arsenal hakuna maana namna gani?
 
Mimi kwa upande wangu kitendo cha kuizika tanganyika sitakisamehe maana najua ipo siku itadaiwa kwa kumwaga damu.
 
Jamani Nyerere alishatangulia mbele ya haki, mimi nadhani tumwache apumzike zake wengine tusonge mbele. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Hata hawa wanaopita barabarani na gari kusimamishwa muda wataondoka. Kufa ni kila mtu. Mimi sidhani kutumia legacy za Nyerere tunaweza fika popote. Nyerere alibaki kupiganisha nchi yake ETI kwa mantiki ya kusaidia nchi za kusini mwa africa!!!!!!, matokeo yake watu kama akina Kenyatta kule Kenya waliendelea kujenga chumi za nchi zao. leo hii kenya iko nchi za uchumi wa kati. Sisi ndo tuko bussy kuweka pembeni mawazo ya wananchi kwenye katiba mpya. Poor my country
 
Back
Top Bottom