Wazee mimi naona Tanzania tumeweka siasa na propaganda kama vipaumbele vyetu namba moja. Mabomu ya Mbagala yalipotokea ilitakiwa mtu angalau mmoja tu ajiuzulu lakini hicho hakikutokea...kwa ahadi kuwa tukio kama hilo lisingetokea tena hapa Tanzania. Gongolamboto limetokea!....Na mpaka leo hii...
Nina tatizo moja dogo, nimejaribu kuongea na baadhi ya watu hawajanipa jibu la kitaalamu sana.
Mtoto mchanga toka kuzaliwa mpaka kufikisha umri fulani huwa inashauriwa awe anapewa maziwa ya mama tu na kwa kuangalia utaona choo anachopata ni kama anaharisha yaani choo kinakuwa laini kama maji na...
Wadau naomba tuliangalie suala hili la mamlaka za maji mikoani au wilayani kushindwa kusambaza maji ya kutosha kwa wananchi wake. Utakuta kuna vyanzo vya maji vingi tu lakini kubuni njia za kuyapata na kuyasambaza mpaka waje wachina watufanyie.
Wakati mwingine unakuta maji yapo na mtandao wa...
Hello Channel Ten,
Holla, we welcome you back on air. Stesheni yenu ni bomba na tuliimisi sana kwa taarifa za habari za mapema kuliko vituo vingine.
Big up!!
Tatizo katika ATCL ni ubunifu wa biashara. Tunajua kampuni imekuwa na matatizo ya muda mrefu sana hata baada ya kuungana na SAA hakukuwa na matunda yeyote.
Kinachotakiwa kufanyika sasa ni uongozi kujipanga upya na kuangalia sifa za watendaji wake wote ili kuona ni maeneo gani yanahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.