Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,481
- 14,339
Baada ya tukio la jana katika kambi ya Jeshi Gongo la Mboto nimeona ni vyema tukiliangalia na hili ....................
April mwaka 2009 ulitokea mlipuko wa mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi kambi ya Mbagala, na baada ya tukio hili viongozi wanaohusika na dhamana ya majeshi na ulinzi.. waliahidi kwamba hali hiyo haitatokea tena... na ikaundwa kamati maalum ya kufuatilia chanzo cha lile tukio na amiri jeshi mkuu (JK) akaagiza ukaguzi wa mabomu katika kambi zote za jeshi nchini je hili lilitekelezwa? au ilikuwa ni danga toto na kupunguza machungu ya wananchi waliopoteza mali, ndugu na jamaa zao
Jamani mimi naomba mwenye report ya Mbagala anifahamishe au aiweke hapa jamvini ... ni hayo tu
Poleni sana watanzania wenzangu mlioondokewa na ndugu na jamaa zenu na wale wote waliopoteza mali zao....
April mwaka 2009 ulitokea mlipuko wa mabomu katika kambi ya Jeshi la Wananchi kambi ya Mbagala, na baada ya tukio hili viongozi wanaohusika na dhamana ya majeshi na ulinzi.. waliahidi kwamba hali hiyo haitatokea tena... na ikaundwa kamati maalum ya kufuatilia chanzo cha lile tukio na amiri jeshi mkuu (JK) akaagiza ukaguzi wa mabomu katika kambi zote za jeshi nchini je hili lilitekelezwa? au ilikuwa ni danga toto na kupunguza machungu ya wananchi waliopoteza mali, ndugu na jamaa zao
Jamani mimi naomba mwenye report ya Mbagala anifahamishe au aiweke hapa jamvini ... ni hayo tu
Poleni sana watanzania wenzangu mlioondokewa na ndugu na jamaa zenu na wale wote waliopoteza mali zao....