Recent content by namlexink

  1. namlexink

    CHADEMA mnawatetea Wanyonge gani? Mbona Watumishi wanalialia nyie mko kimya?

    Watumishi wenyewe, hawahawa wanatumika kuiba kura ndiyo maana tunapata viongozi wabovu, acha liwakae hilo.
  2. namlexink

    Nimeamini 100% Mwaka 2025 Rais ni Membe

    Mwisho, ulipata mademu hapo ulipoenda?
  3. namlexink

    Kanisingizia natembea na mke wake ilihali mimi ni mchungaji

    hii ilikua mwaka 2016, kwa sasa ndugu mchungaji tupe mrejesho kama unaendelea kumtafuna mke wa muumini wako
  4. namlexink

    Kanisingizia natembea na mke wake ilihali mimi ni mchungaji

    Wewe ni Mchungaji Kibwetere kabisa
  5. namlexink

    Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

    Tupo wengi tu tumetulizana njia kuu.
  6. namlexink

    Kama ni gari ya chini kwa Mzee Mwinyi, kwanini isiwe IST au Fun Cargo za bei rahisi?

    IST, FunCargo ni za wadada kuendea kwa michepuko
  7. namlexink

    Nyumba isipokuwa na dari inaathiri sana ndoa

    mvalishe barakoa mpenzi wako wakati wa kumnyandua, sauti akitoa haiendi zaidi ya mita mbili
  8. namlexink

    Kaniomba nimsindikize kwake alichonifanyia sitasahau

    pole kwa kugeuzwa document :D:D
  9. namlexink

    Mapato ya Madini yazidi kupaa

    #mamayoyo1 unaandikia gazeti gani, coz leo umekuja na habari za ufuta na madini tu...:D
  10. namlexink

    Kuna tofauti kubwa kati ya michepuko wake za watu na michepuko single ladies

    Mkuu hii research yako iko very biased tukiangalia haina ile 95% confidence interval range of values to represent the population mean. Kwa hiyo unatudanganya, hamishia familia yako Dom haraka sana kabla hatujakuhamishia Kibakwe ndani ndani huko karibu na Kongwa.
  11. namlexink

    Nimejikuta kando ya Bonge la Tipwa tipwa

    Pitia hapa nyakanazi nikununulie bia mbili uende kwenu :D
Back
Top Bottom