Licha ya Mkoa wa Mtwara kuwa na kituo chanzo kikuu cha uzalishaji wa Gesi asilia ,lakini mambo ni kinyume kabisa na mategemeo ya wananchi wa mkoa huu kwani tangia mwezi january mwaka huu 2017 kumekuwa na mgao wa umeme, katika maeneo mbalimbali umeme unakatika asubuhi na kurudi jioni au umeme...
Habari za kusikitisha kutoka mkoani Mtwara ni kuwa Mvua na hali ya kuchafuka kwa bahari katika ukanda wa pwani ya Mtwara kumeshambulia eneo ilikojengwa power plant ya mradi mkubwa wa Gas,sehemu ambayo kuna connection ya mabomba yanayobeba gas kuelekea kinyelezi Dsm,taarifa toka kijijini Msimbati...
Katika mwaka wa bajeti 2013-2014 serikali ilitenga kiasi cha pesa bilioni mbili kwa ajiri ya mfuko wa vijana,pesa ambazo hazikufanikiwa kufika kwenye mikono ya vijana kutokana na bajeti kutegemea pesa kutoka kwa wahisani.Mwaka 2014 kampuni ya uchimbaji gas ya B.G (BRITISH GAS) wametoa pesa kiasi...
Ndugu zangu wanaJF umefika wakati wa kuchuja taarifa zinazotolewa na jeshi letu la polisi kwani asilimia kubwa ya Report za matukio yanayotolewa na jeshi hili yamekaa katika hali ya kipropaganda yanayolenga kuonyesha jeshi hili linafanya sana kazi kumbe hamna lolote la maaana.Hebu tuangalia...
Kampuni ya Clouds media kupitia makampuni yake ya clouds f.m na clouds Tv wamebuni mbinu ya kuwaibia watanzania ambao wengi hawana uwelewa mkubwa wa matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwani wanakutumia ujumbe mfupi unaohusu shughuli za burudani wanazozifanya kisha wanakukata hela,pasipo wewe...
Askari jeshi la polisi mkoani mtwara wameingia katika kipindi kigumu baada ya baada ya kulazimika kuhamia katika kambi zilizopo kutuo kikuu mkoani mtwara na kuishi ktk mahema,hiyo imesababishwa na kuhofia usalama wao mitaani pia wamiliki wa nyumba mkoani mtwara wamegoma kuwapangisha askari...
Hapo ndipo serikali wanapoonekana ni wanafiki kwa watu mtwara,mnaleta wawekezaji alafu wanaishia dsm huku mnategemea malighafi itoke mtwara, mbona kama bandari mtwara ipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.