Recent content by Namichiga

  1. Namichiga

    PICHA: Huenda Rais Samia akawa ndio Rais anayevuta watu wengi zaidi kwenye mikutano yake kuliko marais wote waliomtangulia

    Acha propaganda na upotoshaji,hapo sio kusini bali ni Ikwiriri kwa Manjenga wilaya ya Rufiji mkoa wa Pwani.Mbunge wa wilaya hiyo ni mkwe wa Rais Ndg Mohamed Mchengelwa,na mbunge alitangulia kufika eneo hilo na timu yake siku moja kabla ya Rais kupita na kufanya maandalizi ya tukio...
  2. Namichiga

    Parachichi au korosho?

    Ukipenda nitafute kwa 0767 845 184
  3. Namichiga

    Parachichi au korosho?

    Kilimo bora ni Korosho mkuu,hasa kwa mikoa ya Pwani na kusini mwa Tanzania.
  4. Namichiga

    Nafaka hizi zinahitajika haraka

    Contact: 0767 845 184/0787 803 233/0713 963 812
  5. Namichiga

    Afrika tunashindwa na nchi za Asia tulizopata uhuru muda sawa. Shida ni nini?

    Waafrika unatuponza ubinafsi na hatimaye wizi!!!
  6. Namichiga

    Ile dhana kuwa CHADEMA ni waganga njaa na walamba asali imeyeyuka ghafla. Wanaonekana wanauchungu na rasilimali za taifa lao. Wanaamika japo sio sana

    Mkuu tuombe radhi sisi Wamwera kutoka Nanjilinji,tuna piga pesa ya maana sana kupitia zao la ufuta.Hivyo sio washamba kiiivyo [emoji28][emoji28][emoji28]
  7. Namichiga

    Mkasa wa msanii Omary Omary na imamu wa msikiti ambaye ni baba yake

    Band - Jagwa Muimbaji - Marehemu Jack Simela.
  8. Namichiga

    Mbona maisha yamekuwa magumu mtaani kuliko kipindi cha Hayati Magufuli

    Kiuhalisia Magufuli alikua ni Rais wa hovyo,lakini hata huyu Samia ni Rais wa hovyo pia sababu namna ya uendeshaji nchi miongozo mingi anapewa na ma godfather wa genge (syndicate) lililosuka mipango ya yeye kufika hapo!!!!. Kwa ilipofika Watanzania tuzidi kuamka na kuzidi kujipa mazoezi ya...
  9. Namichiga

    Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

    Kwenye mambo ya media hilo ni jambo la kawaida,ni lazima wakuflame ili usitoke nje ya mada na kuballance muda.Zaidi ya hapo labda watangazaji wajiridhishe kwamba una uzoefu wa mahojiano.
  10. Namichiga

    SoC03 Kuibuka kwa Taasisi/vikundi vingi vya kukopesha pesa mtandaoni: Je, wananchi wana uelewa? Usalama wa Taarifa Binafsi unazingatiwa?

    Binafsi nimeshakumbana na kisa kama hicho kutoka kwa kampuni inayojiita Pesa X. Niliona tangazo lao mtandaoni nikashawishika kujiunga nao,nikatimiza vigezo vyao vyote walivyo taka kama vile; Majina matatu,kitambulisho cha nida,namba ya nyumba na mahali ninapoishi,picha yangu,wadhamini wawili na...
  11. Namichiga

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Mkuu,huo wimbo unaitwa #Mama Tishi.Umeimbwa na band ya Survivor Original kwenye albam yao ya kwanza (Vol.1) mwaka 97.
  12. Namichiga

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Ndio,ipo tofauti kati ya Chakacha na Mchiriku. Chakacha kiuhasilia ni mziki uliokuwa na mienendo,midundo na tamaduni za kimwambao,ambapo kwenye vifaa vya upigaji wake walichanganya magitaa,pamoja na vinanda vya kuvuta huku wakiwa na madensa (wachezaji) walioitwa mafaruku ambao uchezaji wao...
  13. Namichiga

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Jina rasmi la wimbo la huo wimbo,unaitwa #Nguvu zake mwenyewe,upo kwenye albam no. 9 (Vol.9) ya Seven Survival "Juma Mpogo".Njoo what's up kwa 0713963812 nitakutumia
  14. Namichiga

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Kuituma humu mzee binafsi nashindwa Sababu nyimbo za mchiriku (Culture) kiasili ni ndefu na zida mb zaidi ya 5
  15. Namichiga

    Niulize jambo lolote kuhusu mziki wa Mchiriku/Mnanda

    Mziki wa mchiriku (mnanda) chimbuko lake ni jijini Dar es Salaam,hususani katika wilaya zote tatu kwa maana ya Temeke,Kinondoni na Ilala pia,kwani katika orodha ya band za mwanzoni kabisa (band waasisi) ukizitaja basi ni lazima uziguse wilaya zote tatu. Mfano band kama Red Star na Night Star...
Back
Top Bottom