Recent content by NAMBOGO

  1. N

    Kwa aibu hii ya mara ya pili, wahusika mbadilishieni Rais mpambe wake

    Kucheka ndo kushindwa kazi?mi Mafikiri kucheka hakuna uhusiano wowote na kazi take.
  2. N

    St. Joseph yafungiwa kudahili wanafunzi 2016/17

    Hivi hawa watu wanaoi gjza UDOM hapa wako timamu kweli?Ufananishe UDOM na St something hizo ambazo wao wanawaza kupiga hela tu,kweli,?Huko wanakoenda form 4kuchukua digrii walimu wana levo gan ya elimu kwenye st hizo?Udom ya sasa ni bora sana Ndugu zangu,kwa waliyofika pale wanajua ninachosema!
  3. N

    Dakika 45 ITV na Profesa Ndalichako: Hakuna jiwe litakalobaki bila kugeuzwa

    Kasema hatima ya madogo UDOM in IPI?
  4. N

    Dakika 45 ITV na Profesa Ndalichako: Hakuna jiwe litakalobaki bila kugeuzwa

    Kama hakuna aliyegoma ,mbona mweshimiwa alisema walianza migomomigomo?nani tumwamini
  5. N

    Profesa Lipumba aomba kutengua kujiuzulu kwake Uenyekiti CUF

    Nakuiponda ukawa kote Kyle prof amekula matapishi yake? Simwamini tena mwanasiasa yeyote Duniani
  6. N

    Vyuo vinavyotoa shahada (degree) ya gesi, petrol kwa Tanzania

    Huyu chua Kachara ,kuna kitu UDOM ilisha mtenda,aweza kuwa alidisko pale,au nimfanyakazi ambaye ana mgogoro na utawala,kuna mwenzake huwa anajiita UDOM SR,hawani kama walishaajiriwa na MTU kuchafua Chuo,asipobadili ID endeleeni kufuatilia post zake mtaelewa Ninachosema!
  7. N

    Vyuo vinavyotoa shahada (degree) ya gesi, petrol kwa Tanzania

    Huyo chuakachara sijui UDOM ilishamfanya nini,fuatilieni post zake za miaka ya nyuma,huwa nikuiponda tu UDOM,anafikiri UDOM ya mwaka2007 ndo ya sasa! Na hilo swali ameuliza ili mjadala uanze kati ya UDOM &UD kipi bora,anapendaga sana debate hii
  8. N

    Kwa nini watuhumiwa wakubwa wanakuwa na big smile b4 entering kalandinga?

    Wataalamu wa saikolojia wanajua hiyo kitu,stail ya kuficha sononi na aibu zilizopo mioyoni ile furaha c halisi in maigizo Yale,Yona na Mramba walikuwa wanacheka hivyohivyo,mpaka walipoingia gerezani
  9. N

    Kupanda daraja

    Mm huwa hawaeleweki waweza kaa Haya miaka6,huku wakiwa hawasemi chochote,kisheria unatakiwa kupanda,2017,yaan mwakani,kupanda daraja ni kila baada ya miaka3,kama unaanza kazi unakaa minne,mmoja was probation!
  10. N

    Kupanda daraja

    Hakuna kitu kinaboa kama kucheleweshwa kupanda madaraja,kila mwaka wanasema bajeti ndogo,si jui sheria waliweka za mini,hovyoooo!
  11. N

    Magufuli baba njoo udom basi..mbona huji???

    Ukiwahi huwa wanaosajiri wanakuwa library,ukichelewa ndo kunakuwa na usumbufu,bkz wanaosajir hutawanyika kwenye ofisi zao,kwa kifupi problem solving ni sehemu ya elimu ya juu,!kama kuna MTU alisain hajalipwa,TP&Bum hayo ndo matatizo ya msingi,siyo kumwita RAIS wa nchi kwa sabab wamechelewa...
  12. N

    Magufuli baba njoo udom basi..mbona huji???

    Maji wanaokata in DUWASA,Umeme wanaokata ni,TANESCO,nikweli hapo kuna shida,hayo ni mambo ya msingi,ukweli ni kwamba RAIS ambaye naye anakaa BlockQ no mwoga sana yule jamaa,na kamanda Mpandalume amemaliza ndo basi tena,Haya hivyo elewa mleta mada alikuwa analalamikia usajir hayo mengine...
  13. N

    Magufuli baba njoo udom basi..mbona huji???

    Tuliowahi tulisajiriwa bila usumbufu,we utakuwa latecomer,na tatizo nyie watoto wa special diploma Mnalialia sana Hata VITU vidogovidogo,yaan RAIS was nchi aje asimamie usajiri wa wanafunzi chuoni?hivi hii nayo ni mada ya kuleta jmf,?mi nasoma hapo,nipo educa tion,block Q,nimetoka ujac mda...
  14. N

    Magufuli baba njoo udom basi..mbona huji???

    Eleza kama msomi,kwa nn watu hawajasajiriwa jenga hoja vizuri,yaan RAIS wa nchi aje asimamie usajiri wa wanafunzi,HV wanafunzi wa SKU hizi mkoje,Kwa nn MTU usisajiriwe,una viambata vyote,vyet viko sawa?Siku nyingine weka post inayojieleza vzr kama msomi.
  15. N

    TAMISEMI Kuweni na huruma na sisi,sisi ni binadamu wenzenu!

    Hivi nyie watu wa Tamisemi mnaohusika na elimu,walimu walishawakosea nini,inakuwaje MTU adai malimbikizo ya mshahara kwa miaka minne bila mafanikio?wakati viambata vyote ameleta?kila mwaka mnasema fedha zimetengwa bado mnahakiki,ni taarifa gani za kuhakiki miaka4?Natamani Siku moja niwaone kwa...
Back
Top Bottom