Mimi naota kama kuna watu wanakuja kunifanyia mabaya zaidi ni kunitesa au kuniharibia mambo yangu. Na pale nkijarbu kizuia najikuta napiga kelele naomba kusaidiwa kwa hili.. ahsante
Ndugu wana JF naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa passport ya kusafiria kwenda nje ya nchi kama South Afrika. kwa muda gani naweza kupata passport na vip gharama zake zinakuaje? Kwa anaefahamu tafadhari anijulishe kwa hili.
'Woga wako ndio umasikin wako mama/kaka weeeehhh....!! Umejiroga mwenyewe''. Jaman pole sana kwa huyu dada maana inahuzunisha sana tena ni fundisho pia.
Yaan mi sitamani kuiona ccm, ctaki napata hasira tena nawaambia wananchi wenzangu kama mtu yupo tayari ani PM tutafute idadi kubwa na mabango kupinga hli suala hl. Asanteni
Hivi kati ya ukweli na uongo nini kinauma? Hapa naona wengine hawataki tuambiwe ukweli sisi bado sana, kila kitu sababu haya yote sio ya serikeli pekee hata sisi raia. Naomba tusifanye makosa kupanga viongozi maana tatzo ndo linaanza hapa. Ebu ona mafisadi, serikali yenyew haina huruma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.