Recent content by namatuhikwetu

  1. N

    Kiwanja kinatafutwa

    njoo madale nikupe kwa bei hiyo,nicheki kwa namba 0786 294545
  2. N

    Anayemjua Mohammed Ali wa Jicho Pevu

    namkubali sana mohamed ally,nami shahada yangu ya kwanza ni ya uandishi wa habari,ninao uwezo wa kufanya zaidi ya mohamed ally kwani nami siogopi kufa kwani ni mfu mtarajiwa,is a matter of time tu,na kizuri zaidi nina uzoefu mkubwa wa upelelezi kwani nilifanya kazi kitengo hicho kwa miaka...
  3. N

    Nauza simu tecno boom copy ila inasupport kila kitu sh 100000 tu contact 0683848116

    nipo dar nina 70,000 cash,nicheki kwa namba 0786 294545 kama upo tayari kwa bei hiyo
  4. N

    Natafuta kiwanja cha kununua

    jana jumamosi nimewauzia watu wawili mmoja kachukua hatua 25 kwa 30 na mwingine kachukua hatua 30 kwa 30,hivyo kama na wewe ni mhitaji serious namba hiyo hapo na ni vizuri ukaja physically mahali vilipo
  5. N

    Natafuta kiwanja cha kununua

    na kimsingi inategemea wewe unataka hatua ngapi kwa ngapi
  6. N

    Natafuta kiwanja cha kununua

    nimekuwekea namba ya simu kurahisisha mawasiliano hivyo piga simu kisha tupange twende nikakuonyeshe,huoni kama nimekurahisishia!!!
  7. N

    Natafuta kiwanja cha kununua

    aunty kemmy,kwa uzoefu wangu wa kujenga madale,mivumoni,bunju na goba,viwanja vingi havina hati,mtu anakukatia eneo mnaandikishiana kisheria na kiserikali mnamalizana,suala la kupima na kushughulikia hati process unafanya wewe mwenyewe,ukibahatika kupata chenye hati kabisa gharama lazima iwe...
  8. N

    Natafuta soko la mashudu ya alizeti

    unatafuta soko halafu huweki namba,akili kama za bata vile
  9. N

    Natafuta gari used

    nina noah voxy namba d,nicheki kwa namba 0786294545
  10. N

    Harufu ya utapeli juu ya ununuaji gari mtandaoni

    ni kweli,sbt wanaweza kukupigia kwa namba ya japan au kwa namba ya tanzania,ni jamaa wazuri na vigari vyangu vyote nimekuwa nikinunua kwao na hawajawahi kuniangusha,sema tatizo ndio hilo ukishajisajili pale kwenye online charting watakutwangia simu mpaka uboreke lakini all that ni suala la...
  11. N

    Nahitaji pumba za mahindi

    nina pumba nyingi lakini sijakuelewa,unamaanisha unataka gunia moja la pumba kwa wiki au!!!kama ndio unamaanisha hivyo basi hukupaswa kuandika uhitaji mkubwa maana kama ni gunia moja kwa wiki naamini hukohuko arusha ungelitafuta vizuri ungeweza kupata!!nilidhani unahitaji magunia 50 pengine na...
  12. N

    Nahitaji kiwanja maeneo haya

    kila mtu anauza kutokana na dharula au uhitaji wa pesa alionao kwa kipindi husika,karibu
  13. N

    Nahitaji kiwanja maeneo haya

    ndugu,nami ninacho kiwanja madale miguu 30 kwa 25,nauza ml.6 kamili,napatikana kwa namba 0786 294545
  14. N

    Natafuta kiwanja kwa 8M Dar es salaam

    kipo ndugu,nicheki kwenye simu,siingii jf mara kwa mara
  15. N

    Msaada nahitaji mayai ya kuku wa kizu

    ninayo mengi trey 5500,nipo dar,0786 294545
Back
Top Bottom