ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,436
Mkuu huwezi kupata huko size 750 sqm2, mpunga wako mdogo sana .Labda uende temeke-mbagala,pugu
Temeke viwanja bei juu mkuu
Mkuu huwezi kupata huko size 750 sqm2, mpunga wako mdogo sana .Labda uende temeke-mbagala,pugu
Kigamboni ipi hiyo na mimi nahitaji kilichopimwaKigamboni unapata tena kimepimwa
OVA
Kiwanja kipo maeneo ya vianzi kama utataka nishtueWakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe kikubwa kidogo minimum 25 * 30.
Natanguliza shukrani.
Allepo? Ndio kule wanakinukisha daily sioKama utapata wazo jipya kuna kiwanja Allepo..ml2 tu heka 2
Kigamboni,amani gomvu....kimbiji..Kigamboni ipi hiyo na mimi nahitaji kilichopimwa
Wanauza sqm sh ngap? Ni vya kampun au serikali?Kigamboni,amani gomvu....kimbiji..
PALE kwenye junction ya kwenda changani beach hôtel..
OVA
NI waamiliki ambao wanatAmbulika manispaaaWanauza sqm sh ngap? Ni vya kampun au serikali?
Huko hukoAllepo? Ndio kule wanakinukisha daily sio
mkuu mbagala ipi hyo naitaji mm uwanjaMbagala vipo vya kutosha 5m
mkuu bado kipo hchokipo kingine madale 30*25 bei ml.7,umeme upo
mkuu natafuta uwanja hayo maeneo ya tmk na mbagalaMkuu huwezi kupata huko size 750 sqm2, mpunga wako mdogo sana .Labda uende temeke-mbagala,pugu
Chamazi kama km3 kutoka barabaranimkuu mbagala ipi hyo naitaji mm uwanja
Karibu Mkuuu,Wakuu habari,
Kama mnavyoona hali ya kifendha inakuwa ngumu kila kukicha kwa sisi wengine.
Jamani natafuta kiwanja maeneo haya Boko, Bunju, Salasala au Makongo juu.
Budjet yangu nio hiyo 8M. Kiwe kikubwa kidogo minimum 25 * 30.
Natanguliza shukrani.
mkuu hicho kiwanja cha madale kwa kawawa kina hati..na vp je 6ml auchukui... hali ngumu saiz mkuu ww mwenyewe unajuaKaribu Mkuuu,
Ninacho kiwanja kikubwa 24 X 42 Mingoi_Kimere(Ukivuka tu Darala la Mingoi linalotenganisha Dar Esalaam(Bunju Mwisho) ... Nilikuwa na Viwanja Zaizi ya 70 Kwa pamoja Vikiwa kwenye mpagilio mzuri wa plot zenye kuruhusu kila mtu kuwa na barabara ya Kumfikisha Kwake)
Watu wamenunua na Kujenga wanajenga kwa kasi, maji umeme, barabara, vyoote vipo(Maana Njia kuu ya umeme inapita karibu na Plot Zanzgu.
Pia Ninvavyo Viwanja Madale, Kwa Kawawa Na Njia Panda ya Nguzo(Hivi ni 20X 20=na Vingine Vikubwa kidogo..Na Bei ya hivi ni Milioni 13, Mpaka milion 8 inategemea na kiwanja kilivyo).
Karibu Nipigie +255 762 466 293 & +255 784 355 775 MR MBUNGI(Kama unavyo niona kwenye avator)