Recent content by Namahindika Arabi

  1. Namahindika Arabi

    "Uhasama" wa kibiashara wa Mengi na Manji wachukua sura mpya, wapenzi wa Yanga kususia Magazeti IPP

    Nini tena washamba wa ndege? kaeni mkifurahi hamjui nini kinaendelea, kisa Manji na Mengi.
  2. Namahindika Arabi

    Mwenye kujua ajira za walimu zitatoka lini anifahamishe plz

    Hautapata kauli thabiti ila taarifa isiyo rasmi mwezi July 2016.
  3. Namahindika Arabi

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga atenguliwa Uwaziri baada ya kuingia Bungeni akiwa amelewa

    Kila chenye nwanzo kina mwisho pia kinyume chake, Jibu liko waziiiiiii halihitaji visaidizi
  4. Namahindika Arabi

    Magomeni: Basi lingine la UDART lagongwa

    Kwa sisi Tz tunapenda mno kudharau taratibu za maeneo mbalimbali tatizo tunajiona tunajua sana kupita maelezo kumbe hamna kitu, tutaelimika lini sisi?
  5. Namahindika Arabi

    Sinema sakata la LUGUMI: Mashine za utambuzi wa alama za vidole zaanza kufungwa kimya kimya

    Mbivu na mbichi zitajulikana tuombe MUNGU atupe pumzi zake.
  6. Namahindika Arabi

    Naomba kufahamu kisimbusi kitakachoonesha Euro 2016 mbali na DSTV

    AZAM TV Wameshatoa matangazo juu kurusha LIVE EURO kupitia Chanel ya ZBC2 ni sahihi naonaga mwenyewe matangazo yao kila siku kwenye tv ya Azam.
  7. Namahindika Arabi

    2020 sitampa kura Magufuli

    Siasa ni ngumu pia kuongoza Tz ni ngumu! yangu macho.
  8. Namahindika Arabi

    Africa Confederation Cup: Sagrada vs Yanga at Nelson Mandela Stadium

    Matokeo ya mwisho wa mechi yakoje?
  9. Namahindika Arabi

    Utambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums

    Nina miaka 39 sina mtoto natafuta mchumba.
Back
Top Bottom