Recent content by Nam...

  1. N

    Watangazaji na Vyombo Vya Habari Mnamuona Salim Kikeke Wa BBC Swahili

    Anayesifia Kikeke nakuponda wengine kama siyo mtanzania ni sawa. tofauti na hapo inabidi kwanza mjue mwandishi wa bongo anamatatizo gani kwani hakuna chombo kinacholipa vizuri na kikofanya hivyo ujue hakuna vitendea kazi hivyo lazima mwandihi ajigalamie kila kitu, huwezi kuingia chumba cha...
  2. N

    Mkurugenzi wa sasa bukoba naye katimuliwa

    Du!!! huu mgogoro utawamaliza sasa, vipi Meya AMAN na wale watendaji waliosimamishwa na CAG?
  3. N

    Kundi la balozi Kagasheki linakwamisha maendeleo katika manispaa ya bukoba

    Inaonekana wewe ni mwandishi kichonganishi. Hii thread yako inaonesha kuwa ulitegemea Kagasheki akugawie wewe mapesa hayo lakini kutokana na kuyapeleka kwenye jamii itaji, limekuudhi na ukaamua kutuwekea hapa habari isiyo habari bali uchonganishi. Kwani Kagasheki kuchangia darasa la shule siyo...
  4. N

    Kundi la balozi Kagasheki linakwamisha maendeleo katika manispaa ya bukoba

    Kumbe wewe ndiyo mwandishi unayeeneza chuki binafsi, kinachotendeka unachokiandika na mbaya zaidi inatokea ambapo hujapewa posho, hii ni hatari kwa jamii inayokuzunguka hasa kuwaaribia wanahabari wenzako. Kagasheki kuchangia ujenzi wa darasa kweli hiyo siyo nyenzo? Kagasheki kuunganisha vijana...
  5. N

    CAG Bukoba awataka madiwani kutomwingilia kazini

    Kiukweli pana wasiwasi hapo
  6. N

    CAG Bukoba awataka madiwani kutomwingilia kazini

    Ni baada ya kumaliza kikao chao cha utambulisho kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa, ambapo wakaguzi wamesema kuwa wanakagua halmashauri ya manispaa ya Bukoba kwa miaka miatatu kuanzaia 2010 hadi sasa. Wamesema hawataki kuingiliwa kwenye kazi yao, isipokuwa wakiitaji ushirikiano kutoka kwa viongozi...
  7. N

    Cag atimaye amewasili bukoba.

    Kwa taarifa za ndani mkoani Kagera, zinasema kuwa CAG amewasili kukagua hali ya manispaa Bukoba, na hii ni kutokana na ushauri uliotolewa na kamati kuu ya CCM taifa baada ya kutokea mgogoro unaomuusisha Meya manispaa hiyo, baada ya kulalamikiwa kupitisha miradi bila kufuata taratibu. Jopo hili...
  8. N

    Meya atembea amejificha ndani ya gari Bukoba

    Siku chache baada ya taarifa kuhusu meya manispaa ya Bukoba kusema kuwa anakesha ofisini akibadili nyalaka, na hatimaye yeye mwenyewe kusikika akiongea kwenye chombo kimoja cha habari kwa njia ya simu kuwa yuko nje ya mji, amebainika leo kwenye gari akiendeshwa huku ameinamisha kichwa chini...
  9. N

    Chadema; tutawaunga mkono wanaotetea wananchi bukoba.

    Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwatetea wananchi wake na kutowakumbatia mafisadi, kwa kuhakikisha wanafichua siri za watu hao. Ametolea mfano manispaa ya Bukoba, kuwa CHADEMA inawaunga mkono madiwani waliosimamishwa...
  10. N

    Mgogoro Wa Meya Bukoba Raisi Kikwete Kutoa Suluhisho Jukwaani Ni Udhaifu Wa Kiuongozi

    Mimi ni mmoja wa walioudhuria mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake ikulu ya mkoa wa Kagera. Alisema watekeleze mambo matatu yanayolalamikiwa, na kama kuna mambo binafsi hayo wayamalize wao wenyewe lakini hayawausu wananchi. moja ni kuwapatia viwanja watu 800 waliolipia mwaka 2001 kwa...
  11. N

    CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

    Hapo ndipo mjue ujinga wa CCM ukowapi, kama wanaweza kufukuza madiwani wanaolilia maslahi ya wananchi na wakaacha wanofanya deal za wizi wazi wazi. Sasa huko ndo kutekeleza agizo la rais kuhusu viwanja na Soko? Kiukweli CCM imefutika Bukoba, inajilinda yenyewe? Hooooooh!!!!!!!!!!!
  12. N

    Gari ya kisasa ya zimamoto yatolewa kwa manispaa ya bukoba.

    Ni baada ya kutolewa ahadi kwa manispaa hiyo tangu mwaka 2008 kutokana na urafiki uliojengeka kupitia halmashauri hizo mbili, ambapo itakumbukwa kuwa waliwahi kutembelea huko madiwani akiwamo aliyekuwa naibu Meya DAUDA KALUMUNA na wengineo. Baada ya kuwaalika madiwani 4 wa manispaa akiwamo...
  13. N

    Mbinu ya Meya Bukoba yakwama.

    Ni mpango alioupendekeza kwenye kikao cha baraza la madiwani kugawa kata ili kuongeza sehemu za kugombea katika muhula ujao. Kuna taarifa za yeye kukataliwa kwenye kata aliyogombea msimu uliopita ya kagondo, hivyo alivyodokeza kugombea kwenye kata ya kashai anapoishi akaonekana hakubaliki ndipo...
  14. N

    Baraza la Madiwani Manispaa ya Bukoba livunjwe

    Ni bora livunjwe ili wananchi wapewe nafasi ya kuchagu wengine kwani wamevurunda hadi mbunge amekuja kuwabumburua katika manyanga waliokuwa wamekubali kuyapitisha. Saizi wamepanga kupitisha milioni 200 kulipa mthamini wa soko wakati tume inaendelea na uchunguzi wa taratibu zilizotumika huo...
Back
Top Bottom