Kwa taarifa za ndani mkoani Kagera, zinasema kuwa CAG amewasili kukagua hali ya manispaa Bukoba, na hii ni kutokana na ushauri uliotolewa na kamati kuu ya CCM taifa baada ya kutokea mgogoro unaomuusisha Meya manispaa hiyo, baada ya kulalamikiwa kupitisha miradi bila kufuata taratibu.
Jopo hili...