Field Mashal
Member
- Jan 16, 2013
- 36
- 13
Hii nimeiona kwenye mtandao mmoja wa kijamii KANDAYAZIWA BLOG kuwa inasemekana amehamishiwa Dar es salaam lakini lakini ukimnukuu mmoja wa wafanyakazi wa manispaa hiyo ambaye hakutajwa jina kuwa wanafanya kazi kwa hofu sasa.