Rappers wapo weak, kiufupi Hawajui kuchana...//
Nawaficha ka nyeti, kwenye chupi la mmama...//
Tazama!! Ulimi ni nyenzo, tungo ni product...//
Nimezaliwa kwa malengo, kuwafunza hii industry..//
Nawapa Thahadhari, Kabla ya hatari...//
Usiombe bato na Mimi,hii ni zaidi ya hatari...//