Recent content by NalHasty

  1. N

    Kumbe kuna baadhi ya Sekta Binafsi watu wanaishi kama wako peponi vile

    Ulikuwa private sehemu gani? Na sasa upo serikalini sehemu gani?
  2. N

    Any one can give me a different btn Instrumentation Engineering & Electrical Engineering

    Instrumentation Engineering inahusika na Instruments kama sensors/transmitters (Level, pressure, temperature, flow, ph etc). Hizi Instruments zinatumika na control systems kama inputs/outputs kwa ajili ya kucontrol plant yako ili kupata matokeo unayoyataka. Instrumentation Engineer/Technician...
  3. N

    Nahitaji kuwa certified kama Professional Engineer na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB). Utaratibu upoje?

    Mkuu kwanza unatakiwa ujisajili kwenye website yao, https://registration.erb.go.tz/ then uombe kuwa graduate engineer. ukishasajiliwa kuwa graduate engineer kwa utaratibu wa kawaida unatakiwa ufanye SEAP program kwa miaka mitatu uku ukiandika report ndio usajiliwe kuwa professional engineer...
  4. N

    Dini ya Ukristo na Uislamu na nyingine za kigeni hazikupaswa kupokelewa Afrika

    Mkuu sijakuelewa vizuri naomba unieleweshe. Tatizo ni dini au tatizo ni waafrica kuzipokea hizo dini?
  5. N

    Electrical Engineer Graduate natafuta kazi

    Hongera sana kwa hizo skills ulizonazo, inaonekana ulikuwa unapenda kujisomea maana sidhani kama kuna chuo kinafundisha hizo skills. Wakuu watakuja kukusaidia kupata hiyo kazi. Mungu akutangulie.
  6. N

    (darasa) Ubunifu sahihi wa inveter huu hapa.

    Mkuu ulifanikisha project yako?
  7. N

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    kuna mada inazungumzia kuhusu uwepo wake ingekuwa ni vyema zaidi ukaipitie, inaitwa Je Mungu yupo au hayupo? ipo jukwaa la dini.
  8. N

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Asalam alykum, Kila sifa njema zinamstahikia Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma, Mwenye Kurehemu. Pia Rehema na Amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Hapa JF kumekuwa na hoja inayojadiliwa sana na isiyokuwa na muafaka, hoja yenyewe inahusu uwepo wa Mungu...
  9. N

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    BISMILLAH RAHMAN RAHIIM Asalam alykum, Kila sifa njema zinamstahikia Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma, Mwenye Kurehemu. Pia Rehema na Amani zimfikie Mtume wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Hapa JF kumekuwa na hoja inayojadiliwa sana na isiyokuwa na muafaka, hoja...
  10. N

    Itakuwaje nikikimbia kwa speed kali zaidi ya mwanga?

    Kwanza hauwezi kufikia speed ya mwanga , kwasababu kila speed yako inavyozidi kufikia speed of light ndio jinsi mass yako inavyoongezeka kufikia infinity . Na ukiweza kufikia hiyo speed utaweza kusimamisha Muda . Na ukiizidi hiyo speed utaweza kurudisha Muda nyuma .
Back
Top Bottom