Nahitaji kuwa certified kama Professional Engineer na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB). Utaratibu upoje?

May 20, 2015
74
44
Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.

Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na baadae nilisajiliwa na bodi ya wakandarasi ERB kama graduate engineer.

Nimeshafanya kazi sasa kwa muda wa miaka 3.6 katika taasisi hiyo hiyo huku nikijituma na kuwa nguli kwenye mambo yote muhimu ya fani yangu kama Kazi za vitendo, design na management.

Sasa ni wakati wa mimi kuwa certified kama Professional engineer na board ya makandarasi (ERB).

Kwa yeyote ambaye ana ufahamu vizuri ninaomba anisaidie kwa kunipatia mwongozo from the scratch.
Ninawasilisha na asanteni sana.
 
Bodi ya wakandarasi(crb),bodi ya engineers (erb)....erb.go.tz jisajili hapo
 
Nenda ERB pale utapewa utaratibu.Ishu ya CRB Wala haihusian na u engineer wako ila inahusiana na kampuni zinazofqnya kandarasi ranging from services to construction ingawa kigezo chabkupata CRB ndan ya kampuni lazima kuwe na Registered engineer.ANZIA ERB paleee utapewa utaratibu
 
Mpe muongozo Basi Mambo yasiwe mengi
Nakufananisha na crush wa jeiefu ambae hatujuani

image_b6778d13-4fd0-4ceb-9fed-989aca144f8120220419_093617.jpg
 
Heading unataka kusajiliwa na CRB..
Body unataka kusajiliwa na ERB...
Unataka kipi alafu CRB nikukumbushe ni contractors registration body wakati ERB ndiyo eng. Registration body so ni vitu viwili tofauti. Toa maelezo yaliyonyoka Kwanza kisha usaidiwe.
 
Heading unataka kusajiliwa na CRB..
Body unataka kusajiliwa na ERB...
Unataka kipi alafu CRB nikukumbushe ni contractors registration body wakati ERB ndiyo eng. Registration body so ni vitu viwili tofauti. Toa maelezo yaliyonyoka Kwanza kisha usaidiwe.
nadhani mods ndio wamemrekebisha bila kujua amekosea kuandika hadi content nzima ila kwa maelezo yake huyu ahitaji kuwa registered professional engineer by ERB
 
Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.

Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na baadae nilisajiliwa na bodi ya wakandarasi ERB kama graduate engineer.

Nimeshafanya kazi sasa kwa muda wa miaka 3.6 katika taasisi hiyo hiyo huku nikijituma na kuwa nguli kwenye mambo yote muhimu ya fani yangu kama Kazi za vitendo, design na management.

Sasa ni wakati wa mimi kuwa certified kama Professional engineer na board ya makandarasi (ERB).

Kwa yeyote ambaye ana ufahamu vizuri ninaomba anisaidie kwa kunipatia mwongozo from the scratch.
Ninawasilisha na asanteni sana.
Mkuu kwanza unatakiwa ujisajili kwenye website yao, https://registration.erb.go.tz/ then uombe kuwa graduate engineer. ukishasajiliwa kuwa graduate engineer kwa utaratibu wa kawaida unatakiwa ufanye SEAP program kwa miaka mitatu uku ukiandika report ndio usajiliwe kuwa professional engineer. Ila kwa experience yako ya miaka 3.6 unaenda kwenye ofisi zao unawaeleza ili wakuruhusu uandike report ya mwisho kama ukipita unakuwa professional engineer.
 
Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.

Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na baadae nilisajiliwa na bodi ya wakandarasi ERB kama graduate engineer.

Nimeshafanya kazi sasa kwa muda wa miaka 3.6 katika taasisi hiyo hiyo huku nikijituma na kuwa nguli kwenye mambo yote muhimu ya fani yangu kama Kazi za vitendo, design na management.

Sasa ni wakati wa mimi kuwa certified kama Professional engineer na board ya makandarasi (ERB).

Kwa yeyote ambaye ana ufahamu vizuri ninaomba anisaidie kwa kunipatia mwongozo from the scratch.
Ninawasilisha na asanteni sana.
Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.

Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na baadae nilisajiliwa na bodi ya wakandarasi ERB kama graduate engineer.

Nimeshafanya kazi sasa kwa muda wa miaka 3.6 katika taasisi hiyo hiyo huku nikijituma na kuwa nguli kwenye mambo yote muhimu ya fani yangu kama Kazi za vitendo, design na management.

Sasa ni wakati wa mimi kuwa certified kama Professional engineer na board ya makandarasi (ERB).

Kwa yeyote ambaye ana ufahamu vizuri ninaomba anisaidie kwa kunipatia mwongozo from the
Kwaiyo ERB wamekusajili mkandarasi
 
Back
Top Bottom