Recent content by Naleeny

  1. N

    Namna ya kumkamata mwanaume!!

    Kweli kabisaaa, na no. 2, nimeipenda sana, watu wanakurupuka mno, eti utanioa lini, or sijui nataka kuja kwenu kutoa posa, eeeh, wakati ndio una wiki 3 tangu ufahamiane naye, naogopa such people, kuoana si mchezo, ukikurupuka baadae unaweza ukajuta sana, ukajikuta uko na mtu asiyekufaa kabisaaa...
  2. N

    Kwa wale walio busy

    Duh!, hiyo kali
  3. N

    Ezekiel Maige: Ni kweli ninamiliki nyumba ya kifahari Afrika Kusini

    Aliijenga South Africa kwa nia njema kweli au kwa kuificha, yaani kujificha kuonyesha utajiri wake wa ghafla, kumiliki such house kwakuwa anajua hajaijenga kwa hela halali, ufisadi, hata kama ingekuwa ni jengo la biashara why alijenge SA asianzie hapa, Tanzania ifaidike nalo, na tuone, tupime...
  4. N

    Nini kipo nyuma ya mafanikio ya Lady Jay dee

    Ana kipaji, anaishi kama mtu mzima kweli, ana malengo ya kimaendeleo kwa kile Mungu anachomjalia kupitia kipaji chake(kipato), haishi kujishow off na nguo, viatu na magari ya kununuliwa na Mapedezyee wa mjini, anaishi kwa jasho lake, ndio maana hadhaliliki hovyo kama Mastaa wengine wa kike...
  5. N

    Msaada chuo cha sheria ngazi ya cheti.

    Tanga kipo, naona ni hicho cha Lushoto kama ulivyoambiwa awali, nasikia ni kizuri sana
  6. N

    Hivi mtaji wa 30,000/= unaweza kufanyia biashara ipi?

    Tengeneza juice nzuri za matunda uuze pamoja na viazi vitamu au mihogo hasa kwenye mashule ya sekondari au hata ukiuza maembe tu, yale yanayowekwa chumvi yenye pilipili, wanafunzi wengi, hasa wa kike wanayapenda sana
  7. N

    Ya kwako lini?,nachukia sana swali hili

    Ishi maisha yako, usikubali kupelekwapelekwa, plan maisha yako, mtu asikuplanie maisha yako, kama unataka kuolewa na mtu wa aina fulani, wait, mwombe Mungu, utampata, usikubali kuolewa na mtu ambaye ana kuboa, huna feelings naye, ana tabia nyingi za kukukera,ilimradi tu umeolewa, au kwasababu...
  8. N

    Huyu ndiye tatizo katika nchi ya Tanzania na sio Ngeleja, Mkulo wala Maige

    Mtoto haanzi kusimama, anaanza kutambaa kwanza, Watanzania wa sasa si wale wenye mawazo ya 80's, kama maovu ya viongozi nowdays hata mtoto mdogo ameshayasikia,anayaona, maovu yanajulikana, uwajibishwaji unazuazua, hauwi sawasawa na maovu wanayoifanyia nchi, Wananchi, hawawajibishwi...
  9. N

    Dhana ya Wanawake Kuuza Miili Yao

    Sasa ngoja usikie Pedezyee wake Mkubwa, anayempa jeuri mjini, kakamatwa China au Uarabuni na Unga au kama ni Kiongozi Mkubwa, kafukuzwa au kasimamishwa kazi ghafla, uone atakavyohaha na kupagawa!
  10. N

    Dhana ya Wanawake Kuuza Miili Yao

    So from mwanzo, kwenye jamii nyingi Mwanamke anafundishwa, analelewa kumtegemea Mwanaume, kwa hiyo kama anahitaji, ana matumizi ya juu zaidi ambayo hawezi kuyafikia, au yatamtia shoti sana kwenye kipato chake, anatafuta mteremko, atawapanga, wa kuninunulia range, wa kunijazia mafuta, wa...
  11. N

    Dhana ya Wanawake Kuuza Miili Yao

    Nikizungumzia kwa upande wa Waafrika, Wanawake wengi, makabila mengi wanafundishwa, wanalelewa kumtegemea Mwanaume, tena through kwa kuprovide sex kwa huyo Mwanaume, eg. Mafiga Matatu, hata ukimpata Mchumba lazima kwenu wakuulize kwamba anafanya kazi gani, tena wapi, maana ukisema ni Manager...
  12. N

    Huyu ndiye tatizo katika nchi ya Tanzania na sio Ngeleja, Mkulo wala Maige

    Rasilimali zilizomo nchini, zitumike kwa manufaa ya nchi kwa ujumla, sio unakuta mfano, eneo fulani la mtu au ardhi ya kijiji fulani imegundulika kuwa na madini fulani, serikali analichukua hilo eneo, ni sawa, ili faida itakayopatina kutokana na madini hayo inufaishe eneo linalozunguka na nchi...
  13. N

    Huyu ndiye tatizo katika nchi ya Tanzania na sio Ngeleja, Mkulo wala Maige

    mmh, kwa maana hiyo, hii nchi wameona ni shamba la Bibi yao, wanachukua wanachotaka wanagawana wao kwa wao, wanampa zawadi ya vitu, mngeni waliyefurahishwa naye, hawafikirii kuwa hii ni nchi, sote tunatakiwa tufaidike, tuijenge, tujijenge, kwa kutumia rasilimali zilizomo, na sio kunufaisha...
Back
Top Bottom