badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,117
Hamjui 'mwanaume ameubwa mateso kuhangaika??na atakula kwa jasho lake ?mie nitazaa kwa uchungu??
Wanaume jmn ur naturally providers,and tunafurahi mkitujali kwa kutupa hela,sio kwamba tunajiuza,hata km nikiiomba js out of mapenzi tusaidiane,(ila of course natambua kuna sm women ni pasua kichwa,poleh yenu mnaogeuzwa Mpesa)
Wanaume jmn ur naturally providers,and tunafurahi mkitujali kwa kutupa hela,sio kwamba tunajiuza,hata km nikiiomba js out of mapenzi tusaidiane,(ila of course natambua kuna sm women ni pasua kichwa,poleh yenu mnaogeuzwa Mpesa)