Recent content by Nakuk bin laaden

  1. N

    ndo nimekosa mkopo au?

    Hongera sana.. 2po coz moja ila ndo hivyo cna bahati
  2. N

    Misemo ya Mpoki jamani!

    Ata ufanye nini huwezi kuficha panga kwenye pochi.
  3. N

    Mathias Chikawe: Kikwete asiposaini muswada wa Katiba, atakuwa anatafuta mgogoro na Bunge...

    Yaan ccm wanatak rais asaini ili katiba mpya ikitoka wananchi waipigie kura ya hapana..ili tuendelee kutumia katiba ya zamani. Ccm 2shawashtukia mchezo wenu.
  4. N

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya vyama vya upinzani ya Sept 21, 2013

    Kwa hy obama alivyo kuja hapa akufany usumbuf kwa wanaichi..vibanda vya wa2 vyakupatia rizik viling'olewa na omba omba wakazombwa je! Obama akufany usumbuf..mnaon CDM,CUF,NCCR ndo wanafany usumbuf kwa wanaich...kwel policcm ni janga kwa taifa!
  5. N

    Mkutano mkubwa wa CUF, CHADEMA na NCCR kufanyika Jumamosi Sepember 21

    punguza itikadi za kichama" katiba ndo kila ki2 ww!
  6. N

    Kufuatia kumtumia mchina kwenye mikutano yake: Msajili wa vyama vya siasa aionya CCM

    Hiki 'chama cha mkoloni(ccm) kifutwee kabisaaa!!
  7. N

    Zitto Kabwe: Wanasiasa wa Tanzania ni wanafiki

    hakik chadema naipendaaaaa!!! Peopleeeeeez.........powerrrrrrrrz.
  8. N

    Wassira: Hatutawaita tena wapinzani Ikulu

    kwa hiyo ccm mshafany ikulu ni yenu!! Au ikulu xaiv inaifadhi sembe nn ndo maan mnakataa wapimzan wasiend
  9. N

    Rais wangu kuna kipindi hunikosha sana!

    Nitamkumbuk predisa wangu JK kwa kuunda TUME nying zisizo na majib
  10. N

    Tetesi: Mwigulu Nchemba amtishia mbunge wa CUF

    tv yako ni mchina au unasikilizia pua maan mchangiaji wa kwanza kabis alisema...
  11. N

    Majibu ya Reginald Mengi juu ya Gesi kwa Profesa Muhongo

    kweli nyie ndo walewale nyerere aliosema 'umeshika dhahabu isiyo feki anakuja m2 mwenye zahab feki anakuambia shika hii ndo nzuri zaidi na we ulivy zuzu bila kutafakar kwann anakupa unapokea haraka na kujisifia acha uzuzu kuwa kama m2 aliy elimik
  12. N

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    we umevurugwa kama mzee wa magumash
  13. N

    Ni uwazimu tu kufikiri kwamba CHADEMA hakuna human resource ya kuendesha serikali

    Nadhani anaye sema cdm hain ma inteligenc atakuw muuz sembe: MAKAMANDA TUSHIRIKIANE KUMTOKOMEZA MKOLONI MWEUSI CCM(chama cha malanguzi)
  14. N

    Majibu ya Reginald Mengi juu ya Gesi kwa Profesa Muhongo

    katika mambulula we ndo wa kwanza badala uunge mkono gesi ye2 isiende kwa wageni we una mpond R.mengi...alaf ujaxom hp juu alivy jb hajawai kushikilia vitalu vya madini
Back
Top Bottom