mtu mwenye akili timam huwez kusema eti prof j afande sele wamefuli nyimbo ya jukumu letu huwez ifananisha na nyimbo yeyote ya diamond mpenda wanawake afande sele na mtazamo kuna nyimbo gan ya ommy mashavu kubonyea jipange sana kijana
si shangai kauli ya kerry kwan nafaham marekan haja wahi kuwa na rafiki hata siku moja yeye ana washirika kwamba wakati wowote unaweza kuwa adui yake waganda hamja katwa mikono na siku zote matatizo kipimo cha akili
kama m2 amefanya jambo jema ya faa kupongezwa japo kuwa kuna matatizo mengi sasa kama wewe unadhan kafanya jambo la kijinga basi wewe ni dhairi wa shairi kama sio shoga basi una vi element vya ushoga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.