arola54
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 664
- 142
Ni ukweli mtupu. Dogo zitto ana uwezo mkubwa wa kuunganisha watu tofauti na mwenyekiti aliyepo.
Kuanzia vyombo vya dola, ccm, uamsho, al-shabaab na vyama vingne vya upinzani dogo bila kusahau na taasisi za kiusalama wa nchi zitto ana uwezo wa kukaa nao hatimaye tukafikia mwafaka wa kitaifa.
Ana uwezo wa ku-organise taasisi na mashirika ya kimataifa na hiyo ni sifa moja wapo ya kuwa kiongozi.
Tatizo ni mahala au chama cha kutimizia malengo yake ndo shughuli ilipo.
Unaweza kuwa na nia nzuri ya kuongoza watu shida ikaja kwenye watu wako wa chama kutokuwa na nia na malengo kwa ya kwako.
Nafikiri hili ndo lilimfanya hata baba wa taifa ashindwe kutimiza ndoto zake za kuwakomboa watz. Alikua kazungukwa na matapeli wa kisiasa wa kuuma na kupuliza kama tunaowaona leo hii chadema.
Zito kama nyerere ila keshafelishwa.
Kuanzia vyombo vya dola, ccm, uamsho, al-shabaab na vyama vingne vya upinzani dogo bila kusahau na taasisi za kiusalama wa nchi zitto ana uwezo wa kukaa nao hatimaye tukafikia mwafaka wa kitaifa.
Ana uwezo wa ku-organise taasisi na mashirika ya kimataifa na hiyo ni sifa moja wapo ya kuwa kiongozi.
Tatizo ni mahala au chama cha kutimizia malengo yake ndo shughuli ilipo.
Unaweza kuwa na nia nzuri ya kuongoza watu shida ikaja kwenye watu wako wa chama kutokuwa na nia na malengo kwa ya kwako.
Nafikiri hili ndo lilimfanya hata baba wa taifa ashindwe kutimiza ndoto zake za kuwakomboa watz. Alikua kazungukwa na matapeli wa kisiasa wa kuuma na kupuliza kama tunaowaona leo hii chadema.
Zito kama nyerere ila keshafelishwa.