Recent content by Nairobian

  1. N

    Kamari kila kona ya nchi, Wachina wanapata wapi vibali?

    Hili ni tatizo linalomea matawi, na linatapakaa kila kona ya nchi. Janga la Kamari (Betting). Kila kona ya jiji la Dar-es-Salaam, Mwanza na Arusha, Mashine za kamari zimewekwa. Majuzi kati nilikuwa Shinyanga vijijini, watoto waodogo umri wa shule wamejazana ndani ya kachumba kadogo wanacheza...
  2. N

    Kwanini Kagera? Kunahitajika suluhisho la Kisiasa au Kisayansi?

    Ni swala la kuhuzunisha kuona kila janga linawaangukia wana Kagera. Mv Bukoba, Karena. Tetemeko Kagera, Ndege Kagera. Inamfanya mtu kujiuliza: je, tatizo ni nini? Au Serikali inangalie kama ni kitu scientific na Kagera kinachoipelekea mkoa huu kuwa na majanga makubwa ya kitaifa.
  3. N

    Wenye CCM Wasiogopwe

    Hahahahahahaha
  4. N

    Wenye CCM Wasiogopwe

    Nape na January wanajiona nchi ni yao
  5. N

    Wenye CCM Wasiogopwe

    Kuna kundi wanajiita wenye CCM. Hawa ni watoto wa wakubwa wastaafu. Wanaojiona kana kwamba chama ni mali yao. Nawasihi sana wote wanaoitakia mema Tanzania wawakemee hawa watu. Hivi karibuni, Nape Nnauyr alisema wqzi kwamba chama kimerudi kwa wenyewe. Hao wenyewe ni wakina nani? Nadhani...
  6. N

    Video: Sirro hawezi kujibu maswali Magumu, ashindwa kusema Taarifa za kiinteligensia ni nini?

    Siro is an empty headed idiot. Anajua kabisa taarifa zao za kiintelijensia ni kuhusu Chadema. Mbona hajawahi kupata taarifa za intelligentsia za CCM.? What a fool ?
  7. N

    Tandala Kalewa madaraka, anamtapikia mwenye Msitu

    CCM wenyewe kwa wenyewe Rahaaaa
  8. N

    Tazama kionjo (trailer) cha filamu ya The Royal Tour aliyoshiriki Rais Samia

    The arcitect of this project is a genius
  9. N

    Video: Tanzania Royal Tour

    Kama kuna Genius ndani ya Tanzania, basi ni architect wa hii film. Ndani ya Serikali, mtu aliyekuja na hili wazo inabidi apewe tuzo maalum la ushujaa. Ni wazo bora zaidi kuweza kutokea katika hii nchi maana wale jamaa wa TTB wanakula billions akini hakuna kitu kama hiki Wizara ya utalii...
  10. N

    CCM ni ya nani?

    Makamba na Nape
  11. N

    Raila Odinga

    What's the point?
Back
Top Bottom