Recent content by naima4730

  1. naima4730

    Wanaounganisha watu na ajira...

    Kijana unachangamkia fursa
  2. naima4730

    Wanaounganisha watu na ajira...

    Na wewe ukampa hiyo ela? Fanya mpango na mimi unitumie nusu ya hiyo basi... Ana switch off coment uli waliwahi kutapeliwa wasicomment Na wanabadilisha account zao kila siku
  3. naima4730

    Wanaounganisha watu na ajira...

    Usije ukajaribu hiyo ela kama huna kazi nayo naomba unitumie nkanywe juice.. Kama umekutana nao instagram jiulize kwann ana switch off comment
  4. naima4730

    Wanaounganisha watu na ajira...

    Umekutana nao wap?
  5. naima4730

    Haya ndo niliyoyaona Mtwara katika ziara yangu

    Kilimanjaro vs mtwara na sio moshi vs mtwara.... Ila msisahau kugusia na rombo
  6. naima4730

    Viwanja vinauzwa vipo msumi kwa bundala

    Vimepimwa? Na uko kwa bundala ndani ndani umeme umeshafika?
  7. naima4730

    Viwanja vinauzwa vipo msumi kwa bundala

    Msumi inapatikana mbezi ya kimara... Unafika mbezi mwisho unapanda gari za kwenda msumi nauli sh 500 ila kwa bundala hufiki mwisho wa gari
  8. naima4730

    Ni bora uwe na mpenzi anayetumia pombe/bangi au malaya?

    Afadhal ya bangi ila nayo asizid akafanya chakula ila mlevi apana..wakishalewaga mwanamke anaepita mbele yake huyo huyo... Sasa ukute bar nyingine wale mabaamed wakijua jamaa kashalewa awachez nae mbali tena wajue jamaa ana ela wanamganda ad anasahau kwake
  9. naima4730

    Ni bora uwe na mpenzi anayetumia pombe/bangi au malaya?

    Mwanaume mlevi lazma atakuwa na wanawake tena sana sana mabaamed. Afadhal kidogo anaevuta bangi atatulia ila mlevi ndio malaya anakupa stress tu
  10. naima4730

    Houseboy by Ferdinand Oyono Mbia

    Hiyo tafsiri ya houseboy tu mi hoi bora ungekiweka kwa kingereza kingependeza zaidi
  11. naima4730

    MUHIMU: SERIKALI IINGILIE KATI UTOAJI WA PESA ZA KUJIKIMU VYUONI

    Hii haisababishwi na kuwa na sup ni bodi wenyewe hupunguza hii ela kama mwaka juzi walitoa tangazo kuwa kunaeza kua na mabadiliko katika mikopo...
  12. naima4730

    MUHIMU: SERIKALI IINGILIE KATI UTOAJI WA PESA ZA KUJIKIMU VYUONI

    Wenye sup hela ya kujikimu hucheleweshwa wanaweza kukaa mda mrefu bila kusaini hawatoi sababu hapo. Huwezi kusaini hela ya kujikimu kama hujalipa ada na wengine hutumia hizo ela kuongezea ada lakini wao hawalitambui hilo. Na kuna muda unasainishwa fom kuonesha ada unalipa lini pale utakapopewa...
  13. naima4730

    Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

    Your pain Yet more my pain Shall sufocate oppression Your scar yet more my scars Shall remembering the whip Your blood yet more my blood Shall irrigate out victory Hili poem kaandika nan? Na linaitwaje nimelishalisahau
  14. naima4730

    Vitu vya kubeba unapoenda kulala kwa mwanaume Mara ya kwanza

    Nimekuta vitu sivielewi namuuliza matumiz yake anafcha ficha naingia google nao siwaelew.. Ni mdada
  15. naima4730

    Vitu vya kubeba unapoenda kulala kwa mwanaume Mara ya kwanza

    Hivi ky yelly ndo hyo eeh? mana nmeenda kumsalimia mtu nmekuta iyo gel ipo nusu
Back
Top Bottom