stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,181
- 2,494
Kumekuwepo na tatizo linalosababishwa na uongozi wa baadhi ya vyuo nchini kugoma kutoa fedha za kujikimu kwa baadhi ya wanafunzi mpaka wa ingie MIKATABA kandamizi(Ni singependa kuweka wazi hapa) ndio wapewe fedha zao.
Tunafahamu kuwa kuna watu mbali mbali hupitia hapa jamii forums. Hivyo jitahidini kufatilia ukiritimba huu unasababisha ukandamizaji kwa baadhi ya wanafunzi hasa wanaotekea familia za kada ya chini.
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania.
Tunafahamu kuwa kuna watu mbali mbali hupitia hapa jamii forums. Hivyo jitahidini kufatilia ukiritimba huu unasababisha ukandamizaji kwa baadhi ya wanafunzi hasa wanaotekea familia za kada ya chini.
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania.