Ila yote kwa yote wale M23 wamekufa kama kumbikumbi zile BM zimewapukutisha sana, kwenye mapigano kupoteza askari ni kawaida, M23 wapepukutika na wataendelea, bana Mukongo hoyee.
Ila kumbuka tulikubaliana Simba ilipotolewa na Waidady, hakuna kufa kiume wa kikike Kufa ni kufa tu, hivyo iwavyo hata yanga imekufa.
Tena penalt wachezaji walikua wanakosa makusudi kabisa.
Usichokijua, Watu wengi na hata serikali, inakataa uchawi, maana ni ngumu kuudhibitosha, ingawa unaweza wepo.
Ila ushirikina upo na hata serikali inajua hivyo, maana vitendo vyake, vimedhihili.
SIa
SIJAKUELEWA KOSA LA MWENDO KASI NI LIPI HAPO, HILI NENO TUAACHE WANATAFUTA MKATE, TUAACHE NI WAPIGA KURA, NDILO LINALOHARIBU MAMBO MENGI.
KUTOKANA NA TABIA HII, NDIYO MAANA WATU WANAFANYIA BIASHARA BARABARANI, BODA BODA WENYEWE NA WENZAO BAJAJI, KUNA MAENEO WANASUBIRIA ABIRIA NDANI YA...
Boda ni watanzania Wenzetu, baadhi yao, na wenzao bajaji, sioni kama ni wakuhurumia, wao wanajari kuwahi kuliko Usalama wao na wa wenzao barabarani.
.
.Juzi nipo kwenye kigari changu, kwenye kituo cha daladala nimepungaza mwendo, akaja kukivaa kigari changu, nyuma, gari imebondeka sana bampa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.