Recent content by Nahonyo

  1. Nahonyo

    Waafrika tuna matatizo gani?

    Ni kweli, maana Trump hana umaskini wa msokoto.
  2. Nahonyo

    Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

    Nawe mpumba pia, ila mmekufa wengi sana kule, BM zinawamaliza, hebu waulize wanywaranda wenzako.
  3. Nahonyo

    Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

    Ila yote kwa yote wale M23 wamekufa kama kumbikumbi zile BM zimewapukutisha sana, kwenye mapigano kupoteza askari ni kawaida, M23 wapepukutika na wataendelea, bana Mukongo hoyee.
  4. Nahonyo

    KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya Mikopo inayojiita Credit Land imenifanyia udhalilishaji

    Sema shida mara zote, haina adabu, hawa siyo wakuwakopa kopa kabisa. Mikopo yao ina riba kubwa sana tena.
  5. Nahonyo

    Simba SC wako kimya kana kwamba hawakucheza jana na Al Ahly

    Sawa haya mbona akina namungo mnawafanyia huku, Yanga CAF ni timu ndogo tu, haya mmepewa penalt mkakosa makusudi kama siyo uzembe nini.
  6. Nahonyo

    Simba SC wako kimya kana kwamba hawakucheza jana na Al Ahly

    Ila kumbuka tulikubaliana Simba ilipotolewa na Waidady, hakuna kufa kiume wa kikike Kufa ni kufa tu, hivyo iwavyo hata yanga imekufa. Tena penalt wachezaji walikua wanakosa makusudi kabisa.
  7. Nahonyo

    Simba SC wako kimya kana kwamba hawakucheza jana na Al Ahly

    Haijalishi timu zote zishatoka hivyo
  8. Nahonyo

    Ukitumia internet vizuri kufanya utafiti wako binafsi utagundua Uchawi haupo. Hakuna mganga wala nabii atakayekutapeli. Wajinga ndio waliwao

    Usichokijua, Watu wengi na hata serikali, inakataa uchawi, maana ni ngumu kuudhibitosha, ingawa unaweza wepo. Ila ushirikina upo na hata serikali inajua hivyo, maana vitendo vyake, vimedhihili.
  9. Nahonyo

    Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

    SIa SIJAKUELEWA KOSA LA MWENDO KASI NI LIPI HAPO, HILI NENO TUAACHE WANATAFUTA MKATE, TUAACHE NI WAPIGA KURA, NDILO LINALOHARIBU MAMBO MENGI. KUTOKANA NA TABIA HII, NDIYO MAANA WATU WANAFANYIA BIASHARA BARABARANI, BODA BODA WENYEWE NA WENZAO BAJAJI, KUNA MAENEO WANASUBIRIA ABIRIA NDANI YA...
  10. Nahonyo

    Video: Angalia Bodaboda alivyogongwa na Mwendokasi

    Boda ni watanzania Wenzetu, baadhi yao, na wenzao bajaji, sioni kama ni wakuhurumia, wao wanajari kuwahi kuliko Usalama wao na wa wenzao barabarani. . .Juzi nipo kwenye kigari changu, kwenye kituo cha daladala nimepungaza mwendo, akaja kukivaa kigari changu, nyuma, gari imebondeka sana bampa na...
Back
Top Bottom