Nimeona video, mkenya akielezea tofauti iliopo kati ya Tanzania na Kenya.
Ameeleza kinya kinachoitesa nchi yao ni ukabla, Tanzania inatafunwa na udini. Ameeleza Tanzania marais hupokezana kwa kuzingatia dini zao.
Mkubwa maprofesa wa kikiafrika tu nfiyo utakuta wanakuwa waajiriwa kwenye Siasa, ila profesa uhalisia wao ni wataalamu.
Kwenye zilizoendelea wao ndiyo watafiti na wagunduzi mambo mbalimbali ya kitaalamu,
Wao walitakiwa kugundua utengenezaji wa silaha na dhana, mbalimbali za kijeshi, ili kuokoa...
Tandika kaburi moja ni mtaa, ndani ya Tandika hivyo unaweza kufika tandika, hata huo mtaa ukapita usijue ukajua umepita Tandika.
Mfano Mbezi Mwisho, kuna mitaa unaitwa O.G. mwingine Kitopeni iko jirani stand kuu ya Mabasi Wasiyo wenyeji hawajui majina ya mitaa.
Unajihakikishiaje kuwa mtoto aliezaliwa mwanamme, ni kwa sababu ya maombi yako.
Ikiwa umeomba baada ya kuona anamimba tayari, na mtu akiwa na mimba ama azae mtoto wa kiume, au wa kike?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.