Azam inatisha

Azam inatisha

Watakuwa wanaendesha mpira kama familia zao
After all Azam ni mali ya Bhakresa Group ambayo ni family owned....; and on that token tumeona wamiliki wengine (Halmashauri / Mashirika n.k.) wakishindwa kuendesha Timu; hivyo basi hata wale wanaoendesha kama Timu labda waanze kuendesha kama famili kama Azam....

Don't get me wrong they can do better ila nadhani kuanza kuwashambulia hawa tungeanza kwanza na timu nyingine zote kwenye ligi (apart from Simba na Yanga)
 
After all Azam ni mali ya Bhakresa Group ambayo ni family owned....; and on that token tumeona wamiliki wengine (Halmashauri / Mashirika n.k.) wakishindwa kuendesha Timu; hivyo basi hata wale wanaoendesha kama Timu labda waanze kuendesha kama famili kama Azam....

Don't get me wrong they can do better ila nadhani kuanza kuwashambulia hawa tungeanza kwanza na timu nyingine zote kwenye ligi (apart from Simba na Yanga)
tawire
 
sio kweli hiyo timu inaendeshwa kisomi kabisa,na hao sio wahindi hao ni waarabu,uwe unafanya utafiti kidogo kabla hujaongea vitu bro
Kwanini huwa mnasifia mlio wasajili lakini matokeo yanakuwa hasi shida ni nini na mna pesa za kutosha pamoja na miundombinu ya kisasa
 
Nafikiri muwekezaji wa Azam, anajitahidi ila huenda target yake hasa ni uwekezaji kupitia mpira zaidi nje ya Team ambapo ndio sehemu inayompa mafanikio...

Hizo ni fikra zangu Mimi mwana Kijiji wa Bonyokwa
 
labda kuna kitu hukijui kuhusu mpira, mpira si ukongwe bali ni uwekezaji wa mabilioni ya pesa.

Kama mpira ni ukongwe mamelod sundawns wasingekuwa nafasi ya pili ktk ranking za CAF
Ukongwe una nafasi yake ila ukiwa mkongwe huna pesa ni sawa na mtu mwenye kichwa kikubwa hana akili. Mfano GSM akiondoka, Yanga anabaki na kichwa kikubwa.
 
labda kuna kitu hukijui kuhusu mpira, mpira si ukongwe bali ni uwekezaji wa mabilioni ya pesa.

Kama mpira ni ukongwe mamelod sundawns wasingekuwa nafasi ya pili ktk ranking za CAF
Kweli kabisa, ukizingatia imeanzishwa 1996 tu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom